Biden: Marekani haitaipatia Ukraine Mfumo wa Silaha za Maroketi ya Masafa Marefu yenye Uwezo wa Kushambulia ndani ya Urusi

Biden: Marekani haitaipatia Ukraine Mfumo wa Silaha za Maroketi ya Masafa Marefu yenye Uwezo wa Kushambulia ndani ya Urusi

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Akiongea na Waandishi wa Habari viunga Vya White House,Rais wa Marekani ametamka wazi kwamba Marekani haitaipatia Ukraine Silaha za Masafa Marefu zenye Uwezo wa Kushambulia ndani ya Ardhi ya Urusi.

Kwa mda wa wiki 2 Sasa,Rais wa Ukraine amekuwa akiitaka Marekani Kuipatia nchi yake Silaha za Masafa Marefu ya Mifumo ya Maroketi zenye Uwezo wa Kushambulia ndani ya Ardhi ya Urusi. Pia,Rais wa Ukraine aliongeza kuwa bila Silaha Hizo zenye Uwezo wa Kushambulia Masafa Marefu,Nchi Yake itakaribia kushindwa kuiokoa mini Yake ambayo inaendelea kuzingirwa na Urusi.

Ikumbukwe kuwa,Urusi inatumia Silaha za Masafa Marefu kushambulia Kambi za Ukraine Kabla ya Majeshi ya Ardhini ya Urusi Kuingia. Wataalamu wanadai kuwa,Endapo Ukraine itapewa mfumo huo wa Makombora wa Masafa Marefu,Basi Nguvu za kijeshi Kati ya Urusi na Ukraine katika uwanja wa Kivita hasa upande wa vifaa vya kijeshi utakuwa unakaribia kulingana. Lakini wataalamu wanaonya kuwa,baada ya kupata Silaha Hizo haitaishia kushambulia Majeshi ya Urusi yaliyoko ndani ya Ukraine TU Bali wanaweza kwenda mbali zaidi na kushambulia Ardhi ya Urusi.

Mifumo ya Maroketi ya Masafa Marefu ambayo inaombwa na Ukraine inaitwa Multiple Lunch Rocket System(MLRS). MLRS Ina ya Aina Mbili. Aina ya kwanza Ni Makombora 40 ya Masafa ya kati ndani ya mfumo mmoja yenye Uwezo wa Kushambulia Umbali wa 150Km. MLRS Ina Uwezo wa kurusha Makombora yote 40 ndani ya dakika 2 bila kupumzishwa. Aina ya Pili Ni Kombora moja la Masafa Marefu Maarufu Kama * Army Tactical Missile Cruising System ( ATAMCS)* Lenye Uwezo wa kusafiri umbali wa Mile 300 Sawa na 500Km.

Mpaka Sasa,Nchi za Magharibi zimepeleka nchini Ukraine Silaha za Kujilinda TU na za Masafa Mafupi. Ukraine inaona Kama bila Silaha za Masafa Marefu ambazo Urusi anatumia kuishambulia nchi hiyo,Basi Majeshi yake yatashindwa kukabiliana na Majeshi ya Urusi yenye dhana nzito.

Announcement comes after Moscow warned any supply of long-range weaponry would mark ‘unacceptable escalation’. US will not give Kyiv rocket systems that can reach Russia: Biden
 
Kwa hali hiyo Zelensky akae tu mezani na Putin waongee vita iishe wanajeshi wake na nchi yake isizidi kuharibika, silaha anazoomba ambazo zingeleta challenge kwa Russian army ndio hivyo kashatoswa na wakubwa zake.

Waliokua wanampa moyo mwanzoni na kusifia Ukraine kwamba inaishinda Russia leo hii wamegeuka na kuanza kuionea huruma Ukraine.

Toka jamaa wa mariupol wajisalimishe ilibadili sana upepo wa vita na morale ya wanajeshi wa Ukraine.
 
Naamini hata kama wangempa makombora hayo haingesaidia kitu,
Kibaya zaidi wangemponza,
Ndio wangemtia hasira Russia
Russia angefanya maangamizi makubwa mno Hadi Dunia ingejuta,
wala bila silaha za nyukilia.
Naona NATO hawataki direct conflict na Russia hii statement ipo toka kipindi Ukraine wanataka kuwekewa no fly zone
20220530_185039.jpg
 
Akiongea na Waandishi wa Habari viunga Vya White House,Rais wa Marekani ametamka wazi kwamba Marekani haitaipatia Ukraine Silaha za Masafa Marefu zenye Uwezo wa Kushambulia ndani ya Ardhi ya Urusi.

Kwa mda wa wiki 2 Sasa,Rais wa Ukraine amekuwa akiitaka Marekani Kuipatia nchi yake Silaha za Masafa Marefu ya Mifumo ya Maroketi zenye Uwezo wa Kushambulia ndani ya Ardhi ya Urusi. Pia,Rais wa Ukraine aliongeza kuwa bila Silaha Hizo zenye Uwezo wa Kushambulia Masafa Marefu,Nchi Yake itakaribia kushindwa kuiokoa mini Yake ambayo inaendelea kuzingirwa na Urusi.

Ikumbukwe kuwa,Urusi inatumia Silaha za Masafa Marefu kushambulia Kambi za Ukraine Kabla ya Majeshi ya Ardhini ya Urusi Kuingia. Wataalamu wanadai kuwa,Endapo Ukraine itapewa mfumo huo wa Makombora wa Masafa Marefu,Basi Nguvu za kijeshi Kati ya Urusi na Ukraine katika uwanja wa Kivita hasa upande wa vifaa vya kijeshi utakuwa unakaribia kulingana. Lakini wataalamu wanaonya kuwa,baada ya kupata Silaha Hizo haitaishia kushambulia Majeshi ya Urusi yaliyoko ndani ya Ukraine TU Bali wanaweza kwenda mbali zaidi na kushambulia Ardhi ya Urusi.

Mifumo ya Maroketi ya Masafa Marefu ambayo inaombwa na Ukraine inaitwa Multiple Lunch Rocket System(MLRS). MLRS Ina ya Aina Mbili. Aina ya kwanza Ni Makombora 40 ya Masafa ya kati ndani ya mfumo mmoja yenye Uwezo wa Kushambulia Umbali wa 150Km. MLRS Ina Uwezo wa kurusha Makombora yote 40 ndani ya dakika 2 bila kupumzishwa. Aina ya Pili Ni Kombora moja la Masafa Marefu Maarufu Kama * Army Tactical Missile Cruising System ( ATAMCS)* Lenye Uwezo wa kusafiri umbali wa Mile 300 Sawa na 500Km.

Mpaka Sasa,Nchi za Magharibi zimepeleka nchini Ukraine Silaha za Kujilinda TU na za Masafa Mafupi. Ukraine inaona Kama bila Silaha za Masafa Marefu ambazo Urusi anatumia kuishambulia nchi hiyo,Basi Majeshi yake yatashindwa kukabiliana na Majeshi ya Urusi yenye dhana nzito.

Announcement comes after Moscow warned any supply of long-range weaponry would mark ‘unacceptable escalation’. US will not give Kyiv rocket systems that can reach Russia: Biden
Sijui kama umeeleweka maana unaambiwa

M270 Multiple Launch Rockets System (MLRS).
SERIKALI ya Marekani ipo kwenye mpango wa kuipatia Ukraine mfumo wa kurusha roketi nyingi za masafa marefu unaojulikana kama M270 Multiple Launch Rockets System (MLRS).

Mfumo huo wa M270 MLRS unaweza kurusha aina mbalimbali za silaha, ukiwa ni wa hali ya juu zaidi unaoweza kulenga shabaha ya umbali wa kilomita 300.

Hata hivyo, mfumo huu pia unaweza kurusha makombora ya masafa mafupi na anuwai ya karibu 70km.

Rais Volodymyr Zelensky na maafisa wengine wa Ukraine wamehimiza kuwasilishwa kwa MLRS kwa lengo kuu la kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na mashambulizi makubwa ya Urusi katika eneo la mashariki la Donbas.

Inapatikana:
 
Naamini hata kama wangempa makombora hayo haingesaidia kitu,
Kibaya zaidi wangemponza,
Ndio wangemtia hasira Russia
Russia angefanya maangamizi makubwa mno Hadi Dunia ingejuta,
wala bila silaha za nyukilia.
Russia anaposema kila siku Ukraine wasipewe silaha yyte huwaga wanachukulia mas-hara, kwa mtu mwenye akili timamu atajua anamaanisha nn, yaani watapigwa kichapo mchana, alfajiri usiku kmmke
 
Kwa hali hiyo Zelensky akae tu mezani na Putin waongee vita iishe wanajeshi wake na nchi yake isizidi kuharibika, silaha anazoomba ambazo zingeleta challenge kwa Russian army ndio hivyo kashatoswa na wakubwa zake.

Waliokua wanampa moyo mwanzoni na kusifia Ukraine kwamba inaishinda Russia leo hii wamegeuka na kuanza kuionea huruma Ukraine.

Toka jamaa wa mariupol wajisalimishe ilibadili sana upepo wa vita na morale ya wanajeshi wa Ukraine.
Nilishawaambia pro USA kuwa hilo kosa marekani hawezi kulifanya, wakanitolea povu kubwa sana
 
Kwa hali hiyo Zelensky akae tu mezani na Putin waongee vita iishe wanajeshi wake na nchi yake isizidi kuharibika, silaha anazoomba ambazo zingeleta challenge kwa Russian army ndio hivyo kashatoswa na wakubwa zake.

Waliokua wanampa moyo mwanzoni na kusifia Ukraine kwamba inaishinda Russia leo hii wamegeuka na kuanza kuionea huruma Ukraine.

Toka jamaa wa mariupol wajisalimishe ilibadili sana upepo wa vita na morale ya wanajeshi wa Ukraine.
Biden anazuga tu, kitaalamu hawezi kutangaza jambo hilo, kwamfano angalia Biden ndo alikuwa mtuwa mwisho kusema Marekani ndio iliyosaidia kuwaondoa russia Kyiv na mpaka leo russia anaiyona chungu Kyiv putin alipigika vibbaya sana

Subiri tuone
 
Haya sasa Comedian imekula kwake!!
Silaha mkuu muda huu naandika zinamiminika Ukrean, kitaalamu Biden hawez kutangaza atapeleka long range missiles ukrean adui atashtuka

Nyuma ya pazia ngoja utasikia
 
Biden anazuga tu, kitaalamu hawezi kutangaza jambo hilo, kwamfano angalia Biden ndo alikuwa mtuwa mwisho kusema Marekani ndio iliyosaidia kuwaondoa russia Kyiv na mpaka leo russia anaiyona chungu Kyiv putin alipigika vibbaya sana

Subiri tuone
Kua criaz basi,mapenzi yaweke kando na ubongo urudi kazini,yaani kila silaha atangaze ila afiche silaha hizo???
Weka taarifa rasmi inayoonyesha Biden amesema wanajeshi wake wameitoa Urusi mji mkuu
 
Back
Top Bottom