Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Sijawahi kuona Rais wa USA duni kama huyu.
Mfumo wa USA, Biden angemaliza kipindi chake vizuri tu.
Afya ya Biden haina tatizo lolote
Ila toka yule Obama abahatike kuwa Rais basi anajiona ndio mtu muhimu kwenye democratic.
Wamarekani wengi wamepiga kura za hasira kuwakataa walio nyuma ya kamala akiwemo Obama
Huyu mzee mjinga sana anazidiwa akili na Obama!
Mfumo wa USA, Biden angemaliza kipindi chake vizuri tu.
Afya ya Biden haina tatizo lolote
Ila toka yule Obama abahatike kuwa Rais basi anajiona ndio mtu muhimu kwenye democratic.
Wamarekani wengi wamepiga kura za hasira kuwakataa walio nyuma ya kamala akiwemo Obama
Huyu mzee mjinga sana anazidiwa akili na Obama!