Akihojiwa leo na kituo cha televisheni cha ABC NEWS Rais Biden amesema anaamini Rais wa Urusi, bwana Putin ni muuaji na atalipa iyo gharama.
Ameongeza kuwa amewahi kumwambia Putin kuwa ni mtu katili na asie na roho ya binadamu. Rais Putin amewahi kushutumiwa kwa mauaji ya waandishi wa habari, kumuua Sergei Skripal aliyewahi kuwa jasusi wa Urusi na kujaribu kumuua mpinzani wake mkuu wa kisiasa ambae sasa hivi yuko jela, Alexei Navalny.
Majibu ya Bwana Biden yanakuja baada ya ripoti iliyotolewa Jana ya kiuchunguzi Marekani kuonesha Urusi ilijaribu kwa namna moja au nyingine kushawishi uchaguzi wa Marekani mwaka jana ili Donald Trump ashinde.
=======
WASHINGTON (Reuters) - President Joe Biden said Russian President Vladimir Putin will face consequences for directing efforts to swing the 2020 U.S. presidential election to Donald Trump, and that they would come soon.
“He will pay a price,” Biden told ABC News in an interview that aired on Wednesday. Asked what the consequences would come, he said, “You’ll see shortly.”
His comments come after a U.S. intelligence report on Tuesday bolstered longstanding allegations that Putin was behind Moscow’s election interference, an accusation Russia called baseless.
At the same time, Biden noted that “there’s places where it’s in our mutual interest to work together” such as renewing the START nuclear agreement, adding that the two leaders have a known history.
“I know him relatively well,” Biden said, adding that “the most important thing dealing with foreign leaders in my experience ... is just know the other guy.”
Of Putin, Biden said he does not think the Russian leader has a soul. Asked if he thought Putin was a killer, he told ABC: “I do.”
Source: Biden vows Russia's Putin will 'pay a price' for election meddling: ABC News
Ameongeza kuwa amewahi kumwambia Putin kuwa ni mtu katili na asie na roho ya binadamu. Rais Putin amewahi kushutumiwa kwa mauaji ya waandishi wa habari, kumuua Sergei Skripal aliyewahi kuwa jasusi wa Urusi na kujaribu kumuua mpinzani wake mkuu wa kisiasa ambae sasa hivi yuko jela, Alexei Navalny.
Majibu ya Bwana Biden yanakuja baada ya ripoti iliyotolewa Jana ya kiuchunguzi Marekani kuonesha Urusi ilijaribu kwa namna moja au nyingine kushawishi uchaguzi wa Marekani mwaka jana ili Donald Trump ashinde.
=======
WASHINGTON (Reuters) - President Joe Biden said Russian President Vladimir Putin will face consequences for directing efforts to swing the 2020 U.S. presidential election to Donald Trump, and that they would come soon.
“He will pay a price,” Biden told ABC News in an interview that aired on Wednesday. Asked what the consequences would come, he said, “You’ll see shortly.”
His comments come after a U.S. intelligence report on Tuesday bolstered longstanding allegations that Putin was behind Moscow’s election interference, an accusation Russia called baseless.
At the same time, Biden noted that “there’s places where it’s in our mutual interest to work together” such as renewing the START nuclear agreement, adding that the two leaders have a known history.
“I know him relatively well,” Biden said, adding that “the most important thing dealing with foreign leaders in my experience ... is just know the other guy.”
Of Putin, Biden said he does not think the Russian leader has a soul. Asked if he thought Putin was a killer, he told ABC: “I do.”
Source: Biden vows Russia's Putin will 'pay a price' for election meddling: ABC News