Media pia hazitaki ku admit kwamba Jeo ana tatizo la kiafya,hasa Amnesia...Mwezi wa 3 hajafanya live press briefing, WH wanaogopa nini kumu expose kwa journalist wamtwange maswali kama Trump??...Putin kaongea hivo simply kwa vile Biden ana afya mgogoro na watu wanajua. Uwezo wake kiakili sio mkubwa sana kwa sasa na akitoa hotuba lazima atoe kauli tata kama hatosoma kwenye teleprompter. Trump alikuwa anahutubia kutoka kichwani
Joe ana matatzo ya kiafya,Rais gani hawezi hutubia bila kusoma Teleprompter??..Ndio maana miezi mi 3 sasa hajafanya Press briefing..Mshkaj anamwambia mwenzie anamtakia "afya njema" hii maana yake labda B ni mgonjwa au labda hili ni tishio kwamba pind siku novichok itamhusu na hapa ndipo majasus wanapolazimika kuongeza kiwango cha utafutaj taarifa na kwa mazingira haya inaonyesha ni kwa kiwango gani kuwa urusi ni noma linapokuja swala LA ujasusi.
Mkuu wataishia vikwazo tu,,lakini hakuna wa kuvamia urusi wala chinaNdionavyojidanganya hivi,mbona wakati Trump anaipelekesha China kwa vikwazo mbona huyo Putin hakuingilia,m
Acha uongo Republican wote except trump wanaichukia Russia na trump, na kipindi Cha Regan na bush senior wote Republican walifanikisha mpango wa kuisambaratisha USSRChama hicho ndio sera zao hizo kile cha Trump hakijishughulishi kivile na mauaji ya nchi zingine ndio maana uliona majibu ya maiti kutoka SA zilizokua zinapatikana ufukweni kipindi hiki angenyoosha maelezo vizuri.
Hakuna unachokijua unakurupuka tuu Chama kina nguvu kuliko Rais USA na hao hao Republican ndio waliomshauri Trump kupunguza tofauti zao na Pyo young Rais wa NK wakati Trump alifikia hatua ya kupeleka vikosi vingi kule Korea kusini na alipunguza vikosi kadhaa ule ukanda wa kusini wa bahari ya China wakati hawa wakina Biden mpaka juzi kapeleka meli za kivita za kutosha kwa kuilaumu China kukandamiza haki za Nchi zingine na kuingilia mpaka haki ya Hong Kong huoni kipindi hiki Hong Kong kumeanza kutulia na China kapunguza Ile kasi yake ya kulazimisha sheria za mainland zitumike na Hong Kong na polisi wao hawatumii nguvu tena kwenye maandamano ya Hong Kong...Acha uongo Republican wote except trump wanaichukia Russia na trump, na kipindi Cha Regan na bush senior wote Republican walifanikisha mpango wa kuisambaratisha USSR
Republican ni anti Russia and Putin Hilo liko wazi hawajawah kumsupport putin au Russia hata siku moja except trump ilo liko waziHakuna unachokijua unakurupuka tuu Chama kina nguvu kuliko Rais USA na hao hao Republican ndio waliomshauri Trump kupunguza tofauti zao na Pyo young Rais wa NK wakati Trump alifikia hatua ya kupeleka vikosi vingi kule Korea kusini na alipunguza vikosi kadhaa ule ukanda wa kusini wa bahari ya China wakati hawa wakina Biden mpaka juzi kapeleka meli za kivita za kutosha kwa kuilaumu China kukandamiza haki za Nchi zingine na kuingilia mpaka haki ya Hong Kong huoni kipindi hiki Hong Kong kumeanza kutulia na China kapunguza Ile kasi yake ya kulazimisha sheria za mainland zitumike na Hong Kong na polisi wao hawatumii nguvu tena kwenye maandamano ya Hong Kong...
Nimezungumzia vikosi vilivyopo bahari ya China huwa vinaongezwa na kupunguzwa kutokana na vugu vugu la Vita mimi hiyo mikwara yao ilinifanya nilitamani kwenda NK miaka ya nyuma ndoto zangu ziliishia ubalozi wao uliopo Beijing China baada ya kugundua ukiwa na Visa ya USA wale jamaa hawakupi visa hata iweje wanasema tuu wewe American yaani passport yako inaenda kukaguliwa kabla ujapewa form ya kujaza na ina lugha yao tuu lazima uwe na mkalimani ili ufanikishe mimi nikaishia kwenye mpaka wa China na NK tuu na kurudi nilienda Cambodia pia hizi Nchi ambazo zilikua na uhasama na USA nilizifatilia sana kipindi cha matembezi yangu mimi sifatilii kwa kusikiliza napokua na nafasi naenda huko huko kujifunza zaidi...Republican ni anti Russia and Putin Hilo liko wazi hawajawah kumsupport putin au Russia hata siku moja except trump ilo liko wazi
Alafu acha uongo vikosi Korea kusin vipo tokea zile nchi zimetengana during cold war ambapo Korea kusin ilikua capitalist camp, na kaskazini socialism, Trump ameingia madarakani amevikuta vikosi vipo ambpo Mara nyingi wanafanyaga mazoezi ya pamoja na jeshi la marekani kwenye mpaka wa Korea kusin na kaskazini
Umeanza kufuatilia siasa za marekani baada ya Trump kuwa raisi ndo maana unadhani kila Jambo kalianzisha trump
Kila kitu ukifanya uwa ni kwa sababu ya lengo flani.sasa Marekani walivunja Ussr kwa sababu ya gani kama kweli walivunja uwo MuunganoNenda maktaba ukasome[emoji40]
Itapendeza zaid Kongo wanamisitu mingi mikubwa km ile ya kwenye picha ya Arnold adui jiniSi wapange wakutane neutral ground(Tanzania tutatoa venue) wachapane mikono. Hizi taarabu za democrats zimezidi
Man of steel.After Biden calls him a "killer", Putin classily responds by implying the US President is talking about himself and wishes him good health. https://t.co/GfUoMHdTwP
Kweli Biden mgonjwa na US hawakuwa na jinsi maana Biden mgonjwa na hawakumpenda TrumpMshkaj anamwambia mwenzie anamtakia "afya njema" hii maana yake labda B ni mgonjwa au labda hili ni tishio kwamba pind siku novichok itamhusu na hapa ndipo majasus wanapolazimika kuongeza kiwango cha utafutaj taarifa na kwa mazingira haya inaonyesha ni kwa kiwango gani kuwa urusi ni noma linapokuja swala LA ujasusi.
CNN na wenzao wanaficha kila baya la BidenMedia pia hazitaki ku admit kwamba Jeo ana tatizo la kiafya,hasa Amnesia...Mwezi wa 3 hajafanya live press briefing, WH wanaogopa nini kumu expose kwa journalist wamtwange maswali kama Trump??...
Biden is too old and sickSi wapange wakutane neutral ground(Tanzania tutatoa venue) wachapane mikono. Hizi taarabu za democrats zimezidi
Sasa hivi border crisis imekuwa mess,Media ziko kimya tu.Imagine ingekuwa ni era ya Trump,the outrage from the radical left...CNN na wenzao wanaficha kila baya la Biden
Biden ataiharibu sana MarekaniSasa hivi border crisis imekuwa mess,Media ziko kimya tu.Imagine ingekuwa ni era ya Trump,the outrage from the radical left...