World Logistics Company
Member
- Jun 1, 2021
- 99
- 104
- Thread starter
- #21
Gucci feki zimejaa Kariakoo
Pengine kuna tatizo la usimamizi lakini haitakiwi kabisa kuwa hivyo. Siku ukianza msako wauzaji hawatasalimika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gucci feki zimejaa Kariakoo
Mafuta ya mbegu za bangi yenyewe tunaingiza kama kawaida.
Hivi toy ndiyo kinyamkera ?Duh,eti Vinyamkera mahaba[emoji1][emoji1]...
Sasa kinyamkera si shetaniDuh,eti Vinyamkera mahaba[emoji1][emoji1]...
Hiyo Taser km ikija kuruhusiwa kuingia nchini,Mimi nitakuwa wa Kwanza kumiliki ili nikomae na watoto wa keko maeneo ya bandariJe Stun gun na taser zinaruhusiwa?
Kwaiyo na vile vipingu wanavyofungana watu wakati wa sex na zile mikanda navyo haviruhusiwi?1. SANAMU ZA NGONO (SEX TOYS)
Kama ilivyo katika nchi nyingi za Afrika, Tanzania pia inakataza kuingiza sanamu za kufanyia ngono kama vile uume bandia (dildos, vibrators), vinyamkera mahaba n.k.
Bidhaa hizi zimekatazwa kwa sababu za kimaadili na kitamaduni.
Ndege Tausi ni Nyara za Taifa. Huruhusiwi kufuga wala kusafirisha.Tausi anaruhusiwa kuingizwa au kumilikiwa.. Nataka fuga huyo ndege apendezeshe bustani yangu
Kwaiyo na vile vipingu wanavyofungana watu wakati wa sex na zile mikanda navyo haviruhusiwi?
Haina haja ya kuingiza majarida
Tunapakua on line wenyewe
Hivi toy ndiyo kinyamkera ?
Sex toys ndiyo vinyamkera mahaba ?
Zinaruhusiwa kwa kibali maalum.
Kwaiyo ata kama itakuwa ni kwaajir ya kuiweka kwenye zoo kwaajir ya utalii napo haurusiwi?Ndege Tausi ni Nyara za Taifa. Huruhusiwi kufuga wala kusafirisha.
Hiyo Taser km ikija kuruhusiwa kuingia nchini,Mimi nitakuwa wa Kwanza kumiliki ili nikomae na watoto wa keko maeneo ya bandari
Jamaa wanakaba sn mitaa ya bandari pale kuanzia saa moja usiku alafu Mzee samtaimz napiga night shift..dawa Yao ni kuwapiga shoti Tu Hadi mtu ana freeze
Siku moja walivamia gari la dada mmoja wwkakomba kila kitu walichokikuta ndani,dada wa watu akapiga sn kelele lkn hakuna aliyethubutu kunyanyua mguu wake kwenda kumsaidia me mwenyewe sikuthubutu,Walikuwa na mapanga ya kutosha ,makondakta na madereva daladala wanaangalia tu dah!
Kwaiyo ata kama itakuwa ni kwaajir ya kuiweka kwenye zoo kwaajir ya utalii napo haurusiwi?
Vifaa vya kufanyia ibada za kishetani sheria imekaa kimya haisemi kitu. Yale masanamu na mafuvu na alama za ajabuajabu hayajakatazwa