inamaana kweli hujui impact yake?Impact itakuwa nini kwa kufanya hivyo?
vivo energy ni kampuni ya mafuta inayouza bidhaa za SHELL (mf. petrol,diesel,lubricants,v-power etc). Kiufupi ni SHELL KENYANa vivo energy ni ya nani? Energy za Mo na Azam zitapata soko kubwa huko walikosusa, wakizipeleka.
Sio siasa ni biashara kwani zama hizi kuna siasa!!!siasa hizi!
Na vivo energy ni ya nani? Energy za Mo na Azam zitapata soko kubwa huko walikosusa, wakizipeleka.
inamaana kweli hujui impact yake?
Brookside inamiliki 55% solo la maziwa Kenya. Hapa naona KCC ndio itafaidi.
KID: Dad mbona Raila hukuwa na ufala mob?
DAD: Silent.
Kid: Dad mbona Raila hukuwa na ufala mob?
Dad : Silent.
Kid; Dad after Ruto kumaliza 2027 Raila atakuwa president?
Dad n Mum:¿¿
Mum: Ujinga ya Raila ilianza kabla sisi tuzaliwe, alijaribu coup akashindwa, akashindana na Moi akashindwa, akashinda na Kibaki akashindwa, akashindana na Uhuru akashindwa, sasa anashindana na N'gombe za Brookside.
Hii imenimaliza mali mali♂♂♂
kuja unichape, nmeeda kulala
Odinga anahitaji kunyukwa bakora, afu huu ugomvi wa familia mbili nashangaa sana kuona wanahusishwa wananchi.Halafu kampuni ya Safaricom imeajiri watu wengi sana wa kabila la Raila, sasa Raila anataka wafuasi wake wafukuzwe kazi kwa sababu ya kampuni kutopata kipato cha kutosha baada ya kuhamia Airtel, na Je Airtel atawaajiri watakaofuzwa Safaricom ili wana NASA hao wasikose ajira?! Jamaa limeishiwa sera na sasa linaangamiza hata ndugu zake, hana huruma na ndugu zake. Nchi haipati hasara kwa sababu bado wateja wanajiunga na Airtel Kenya ambayo bado ipo Kenya ila shida ni watakaofukuzwa kazi Safaricom kama redundancy.