hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 399
- 992
Zbar na sakanya kkoo nzima kuna mavhimboKabla hujaenda china nenda zanzibar kwanza
Kufanya nini?Kabla hujaenda china nenda zanzibar kwanza
Asante sana mkuu, je bidhaa gani nichukue huko zenye mzunguko wa chap chapKabla hujaenda china nenda zanzibar kwanza
Asante boss nitakuja tuyajengeKwanini utumie hela yako kununua bidhaa? Kwanini usifanye watu wanaagiza wewe unawaletea wanachotaka wakati wameshalipia badala ya kutumia hela yako.
Fanya kama app kikuu. Unaweza ni cheki PM kupata maelezo zaidi.
Asante sana mkuuZbar na sakanya kkoo nzima kuna mavhimbo
Hivi biashara inaijua kweli wewe. Iyo itaendelea kuwa imani but not at all times.Naamini nikiagiza mara mbili nitakuwa nime double mtaji..
Electronic devices zote ukichukua zanzibar zinalipa sana mkuu.Asante sana mkuu, je bidhaa gani nichukue huko zenye mzunguko wa chap chap
Yatoe hapa ili wengi tufaidike?Unaweza ni cheki PM kupata maelezo zaidi.
Mbali na vifaa vya electronics ni bidhaa zipi nyingine zinapatikana kwa bei mzuri huko kuliko kariakoo?Electronic devices zote ukichukua zanzibar zinalipa sana mkuu.
Asante sana boss, I appreciate 🙏Electronic devices zote ukichukua zanzibar zinalipa sana mkuu.
Spea za pikipiki vpChina wanauza bidhaa mbalimbali zingine unaweza kuzipata k koo ,swali langu je unaitaji ujikite kwenye uzaji wa bidhaa gani,n.k, urembo, mavazi, mashine, phone accessories, car accessories,
Ulinunua na kuuza nini? Kwa sasa pesa yako ikoje......au iliisha salama?Asante sana boss, I appreciate 🙏
Huyu atakua ameingia kwenye 18 za wadada wa mjini tayari😂Ulinunua na kuuza nini? Kwa sasa pesa yako ikoje......au iliisha salama?