Bidhaa kutoka Zanzibar kutolipishwa kodi, Serikali kuunganisha mifumo ya kodi Bara na Zanzibar

Hili naunga mkono
 
Ngoja tuone ila kama kodi za Zanzibar zitabaki vile vile basi Zanzibar ndio watakuwa wamecheza kama pele, mizigo mingi tabidi tushushie kwao, kukwepa gharama kubwa za huku kwetu bara, hivyo bandari yao itakuwa busy zaidi.
Wazanzibari huwajui vizuri. Wavivu sana
 
Kodi ikikatwa Zanzibar inaishia huko huko, haisaidi uchumi WA bara tofauti na Kodi iliyokatwa dar inaweza kutumika karagwe , hii ndio tofauti Kuu.
Wazanzibar wana haki zaidi na huu muungano fake, hatuwataki uvunjwe haraka
 
Zanzibar ni nchi kamili
 
Na kuanzia hapo ndio bidhaa za Zenji zitakapopaa bei zake. Kwa sasa wenzetu bidhaa zao ni nafuu sn ukilinganisha na zile za bara hasa vifaa vya electronics kam Tv, Computers n.k. Wazee wa kazi wakishatia maguu, sidhan kama hali itabakia kama sasa
 
Kodi ikikatwa Zanzibar inaishia huko huko, haisaidi uchumi WA bara tofauti na Kodi iliyokatwa dar inaweza kutumika karagwe , hii ndio tofauti Kuu.
Na wakifanya hivyo, mnufaika atakuwa Znz coz wao wanaunafuu mkubwa wa kodi bandarini. Halafu bandari ya mapato yote ni yao hakuna DP World kule. Sasa mizigo mingi itashukia zenji. Huku para sasa patakuwa ni geti tu la watu kutolea mzigo wao. Chao chao, chetu chao
 
Haya mambo tayari au ndiyo ukiritimba mwingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…