supermarket iko changombe mchicha.
Seriously? Labda iruhusiwe kuuza bangi ndio italipa.
Seriously? Labda iruhusiwe kuuza bangi ndio italipa.
Tatizo ni location. Pia alipaswa muuzaji aseme vitu vifuatavyo;
1. Mtaji wa hizo bidhaa ni shs ngapi (Kwa bei ya kununulia)
2. Gharama za vifaa vingine kama fridges, meza, shelves, makabati, cash machines, security cameras , nk.
3. Kiasi cha miezi ya kodi kilichobakia (kama amepanga) na ni shilingi ngapi kwa mwezi.
Hii itasaidia mwenye interest kufanya chaguo kabla hajaanza kuumiza kichwa (huenda akavunjika moyo kwa kupata maelezo nusunusu)
mambo ya kujua rent utambiwa kama uko serious na bidhaa zimejaa ndani mule supermarket na pharmacy iko ndani....mkuu.
kweli kabisa mkuu....nmekuelewa kama uko tayari ni pm...utapewa ushirikiano wa kutoshaKuna wenye kijaribu na kuna wenye kuamua. Kama mimi kabla sijafanya biashara yoyote ni lazima nimshirikishe mshauri wangu kwenye masuala ya uchumi. Hayo masuali ni ya msingi sana kuyajibu kabla hajanishauri.