mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
ndani iko na duka la dawa pia.kuna bidha za kila aina kama unavyoona shoprite.hiyo supermarket iko changombe mchicha...bei yake ni $113, 000...maongezi yapo...kwa aliyekua serious na biashara au anajua ana mtu mwenye uwezo wa kuchkua ani pm...asanteni