Tanzania inaangamia kwa bidhaa hovyo kabisa kutoka uchina,pochi,viatu,mashuka zote hovyo kabisa sb sio ngozi ni plastics.....sijui kwanini watz wanaendelea kuwa na uhusiano huu na watu hovyo kabisa kama hawa....serikali lazima iwalinde walaji kwa kuzuia upumbavu huu wa bidhaa hovyo katika soko.....unashangaa kwanini tunaagiza bidhaa za hovyo kiasi hiki.......simu ndio usiseme upuuzi tu.....heri ununue kitu ghali but imara.....cha kushangaza wanaleta wenyewe sasa.....tumekwisha.
Tanzania inaangamia kwa bidhaa hovyo kabisa kutoka uchina,pochi,viatu,mashuka zote hovyo kabisa sb sio ngozi ni plastics sijui kwanini watz wanaendelea kuwa na uhusiano huu na watu hovyo kabisa kama hawa.
Serikali lazima iwalinde walaji kwa kuzuia upumbavu huu wa bidhaa hovyo katika soko.
Unashangaa kwanini tunaagiza bidhaa za hovyo kiasi hiki, simu ndio usiseme upuuzi tu, Kheri ununue kitu ghali but imara cha kushangaza wanaleta wenyewe sasa.
Tumekwisha.
Waleta bidhaa feki kwa sababu wananunua the most cheapest ambazo hutumika kama toi ulaya......kazi zao siyo feki kwa sababu wasimamizi wanataka ten percent ndipo kazi inaharibika........Ndugu china ndiyo inayouza bidhaa bora zaidi katika masoko ya Ulaya na Marekani kiasi cha kulalamikiwa kwa kuuwa viwanda vya huko... una taarifa kwamba viwanda vingi vya marekani kama vya simu na laptop zinatengenezea bidhaa zao china kwa sababu ya cheap labour with required quality..... Kwa mifano hii amini kauli yangu china hawana feki ila sisi ndio feki.hakuna bidhaa zao feki na hata kazi zao feki,ona hata bara bara au majengo yao feki tu....
Waleta bidhaa feki kwa sababu wananunua the most cheapest ambazo hutumika kama toi ulaya......kazi zao siyo feki kwa sababu wasimamizi wanataka ten percent ndipo kazi inaharibika........Ndugu china ndiyo inayouza bidhaa bora zaidi katika masoko ya Ulaya na Marekani kiasi cha kulalamikiwa kwa kuuwa viwanda vya huko... una taarifa kwamba viwanda vingi vya marekani kama vya simu na laptop zinatengenezea bidhaa zao china kwa sababu ya cheap labour with required quality..... Kwa mifano hii amini kauli yangu china hawana feki ila sisi ndio feki.