Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Tanzania inaangamia kwa bidhaa hovyo kabisa kutoka uchina,pochi,viatu,mashuka zote hovyo kabisa sb sio ngozi ni plastics sijui kwanini watz wanaendelea kuwa na uhusiano huu na watu hovyo kabisa kama hawa.
Serikali lazima iwalinde walaji kwa kuzuia upumbavu huu wa bidhaa hovyo katika soko.
Unashangaa kwanini tunaagiza bidhaa za hovyo kiasi hiki, simu ndio usiseme upuuzi tu, Kheri ununue kitu ghali but imara cha kushangaza wanaleta wenyewe sasa.
Tumekwisha.
Serikali lazima iwalinde walaji kwa kuzuia upumbavu huu wa bidhaa hovyo katika soko.
Unashangaa kwanini tunaagiza bidhaa za hovyo kiasi hiki, simu ndio usiseme upuuzi tu, Kheri ununue kitu ghali but imara cha kushangaza wanaleta wenyewe sasa.
Tumekwisha.