Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKUNA DALILI YA KUKARIBISHWA WATU KUPIGWA HAPA ??Nimekua nasoma baadhi ya comments na kusikiliza mawazo ya watu mbali mbali hasa wateja wanaonunua bidhaa mbalimbali kwamba vitu vya China ni FEKI
Napenda kasema ya kwamba kwa China unachoomba ndicho unachopata, mfanyabiashara anaenda kununua mzigo kwa bei "chee" hivyo anapata products ambazo sio quality nzuri na best, lakin ukiwa mwenye connection na ukapata machimbo mazuri huko China na ukapata na watu wanaojua where and how to get those quality products basi unaweza pata best products zenye quality nzuri kabisa tena kwa bei nafuu kabisa, na vyote vinakua graded accordingly, mfano Grade A,B,C na n.k.
Kwa miezi kadhaa, nimekua nina deal na wafanyabiashara wanaonunua mzigo kwa jumla, wanachoagiza kutoka China wanapata, best quality, best price! Bidhaa zinazoagizwa sana ni handbags za kike, shoes/raba za kike au high heels, chupi za kike(cotton), saa za kike, vitenge, miwani za kike, body splash, pantiliner/diaper, mitandio, Madera, gauni fupi Kali, Brazilian hairs, perfume za kike..Na nyingine nyingi.
Imagine, nauli kutoka hapa kwenda Kati ya sehem hizi China
Shanghai = 2,232,426 Tsh
Guangzhou = 1,542,696 Tsh
Beijing = 2,453,139 Tsh
Na hapo unafika hupati ulichokusudia kupata,..but you can save the stress kama unakua na mtu ambaye anajua wapi na mahali gani utapata products best quality na zaidi best price and unapata mzigo wako salama wasalmin.
Karibuni!
Tunafeli sana kwa kila kituHata hilo mimi napingana nalo fikiria kama simu ya tecno inayouzwa laki moja unaweza kuitumia hadi miaka miwili bila kuharibika hii kazi ungempa mbongo sijui ingekuwaje yani simu ya laki idumu kwa miaka miwili ingekuwa kazi sana wachina wanajitahidi sana
Pia hizo propaganda hua zinaenezwa na marekani ambayo ndio mshindani wake mkubwa kwenye ukuaji wa uchumi duniani..as you know marekani ni selfish they want to control each and everything in the world..Wabongo washamba sana
Wachina wanatengeneza simu zao let say huawei,unaanzaje kuziita fake wakati ni product yao from the scratch??
Fake product ni imitation of the original product..
Kinaeza kua Fake kikawa imara..ila mara nyingi tunapata bidhaa kutokana na thamani ya pesa yetu we ukitaka cm ya Million 1 kwa laki 6 utapata tuu wachina ni watu wazuri wanatujari tusio na uwezo.Nimekua nasoma baadhi ya comments na kusikiliza mawazo ya watu mbali mbali hasa wateja wanaonunua bidhaa mbalimbali kwamba vitu vya China ni FEKI
Napenda kasema ya kwamba kwa China unachoomba ndicho unachopata, mfanyabiashara anaenda kununua mzigo kwa bei "chee" hivyo anapata products ambazo sio quality nzuri na best, lakin ukiwa mwenye connection na ukapata machimbo mazuri huko China na ukapata na watu wanaojua where and how to get those quality products basi unaweza pata best products zenye quality nzuri kabisa tena kwa bei nafuu kabisa, na vyote vinakua graded accordingly, mfano Grade A,B,C na n.k.
Kwa miezi kadhaa, nimekua nina deal na wafanyabiashara wanaonunua mzigo kwa jumla, wanachoagiza kutoka China wanapata, best quality, best price! Bidhaa zinazoagizwa sana ni handbags za kike, shoes/raba za kike au high heels, chupi za kike(cotton), saa za kike, vitenge, miwani za kike, body splash, pantiliner/diaper, mitandio, Madera, gauni fupi Kali, Brazilian hairs, perfume za kike..Na nyingine nyingi.
Imagine, nauli kutoka hapa kwenda Kati ya sehem hizi China
Shanghai = 2,232,426 Tsh
Guangzhou = 1,542,696 Tsh
Beijing = 2,453,139 Tsh
Na hapo unafika hupati ulichokusudia kupata,..but you can save the stress kama unakua na mtu ambaye anajua wapi na mahali gani utapata products best quality na zaidi best price and unapata mzigo wako salama wasalmin.
Karibuni!
KWAMBA JAMAAA ANATAFUTA FURSA?Mwenzako anajitangaza ili wanaotaka connection wamfuate, we endelea tu kukubaliana nae kwa hizo Asilimia zote
KWAMBA JAMAAA ANATAFUTA FURSA?
Mm nina simu ya kichina ni mwaka wa 3 hii smartphone naitumiaTunaodili na ELECTRONICS Tunaweza kukubaliana na mleta mada.
Vifaa vya Kampuni ya "TRONIC" ni Orijino Sana , Ila navyo vinatengenezwa china
Habari za leo wadau. Naomba Connection ndugu zangu. Hizi Slippers zinapatikana Chimbo gani na bei ya jumla jumla ni Shilingi ngapi.Nimekua nasoma baadhi ya comments na kusikiliza mawazo ya watu mbali mbali hasa wateja wanaonunua bidhaa mbalimbali kwamba vitu vya China ni FEKI
Napenda kasema ya kwamba kwa China unachoomba ndicho unachopata, mfanyabiashara anaenda kununua mzigo kwa bei "chee" hivyo anapata products ambazo sio quality nzuri na best, lakin ukiwa mwenye connection na ukapata machimbo mazuri huko China na ukapata na watu wanaojua where and how to get those quality products basi unaweza pata best products zenye quality nzuri kabisa tena kwa bei nafuu kabisa, na vyote vinakua graded accordingly, mfano Grade A,B,C na n.k.
Kwa miezi kadhaa, nimekua nina deal na wafanyabiashara wanaonunua mzigo kwa jumla, wanachoagiza kutoka China wanapata, best quality, best price! Bidhaa zinazoagizwa sana ni handbags za kike, shoes/raba za kike au high heels, chupi za kike(cotton), saa za kike, vitenge, miwani za kike, body splash, pantiliner/diaper, mitandio, Madera, gauni fupi Kali, Brazilian hairs, perfume za kike..Na nyingine nyingi.
Imagine, nauli kutoka hapa kwenda Kati ya sehem hizi China
Shanghai = 2,232,426 Tsh
Guangzhou = 1,542,696 Tsh
Beijing = 2,453,139 Tsh
Na hapo unafika hupati ulichokusudia kupata,..but you can save the stress kama unakua na mtu ambaye anajua wapi na mahali gani utapata products best quality na zaidi best price and unapata mzigo wako salama wasalmin.
Karibuni!