Bidhaa za mitumba nchini Kenya

Bidhaa za mitumba nchini Kenya

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
kenya nasikia kuna masoko yenye vitu vya mitumba kama viatu,mabegi na mikansa ya kiunoni,ni vizuri mno,kama kuna mdau yuko humu analijua soko hilo anielekeze
 
Hilo soko linaitwa Gikomba... wenyewe wana tamka hivyo -> Gikombaa... yaani mwishoni wanavuta, unaweza ukadhani ina herufi 'a' hata kama mitatu vile...
 
Back
Top Bottom