Bidhaa za msingi zinapanda bei, CHADEMA mko kimya kabisa kama vile hamuoni

Bidhaa za msingi zinapanda bei, CHADEMA mko kimya kabisa kama vile hamuoni

MEXICANA

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
1,777
Reaction score
2,040
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CDM, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa,patrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.
Lawama zingine nazielekeza kwa zitto zuber kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu antipass,mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.
Staki kulaumu ccm hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
Ccm walisema upinzani unachelewesha maendeleo sasa hayo mengine yanawahusu Ccm wenyewe watatue, upinzani usihusishwe na lá wama mlizozishabikia wakati walikuwa mbele kutetea wananchi.
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
CCM si mtetezi wa wanyonge? pia bidhaa sizimepanda kwa wapizani pekee?
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
Unaongelea hao waliotucheleweshea maendeleo? Sasa hivi tungekuwa kama Dubai, isipokuwa kelele zao zikavuruga usikivu wa viongozi wa CCM wakasahau kusimamia maendeleo matokeo yake wakafisadi nchi kutokana na kelele zao.
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
Na hauta walaumu wanachukua chako mapema kwakuwa ni mmoja wao , ila Leo unajidai kuwalaumu unaowahujumuni Kila kukicha.
 
Kwani CHADEMA na ACT ndio wanashughulikia masuala ya bei za vitu ?

Si kuna wabunge lukuki ambao ni wawakilishi wa wananchi ?
Anaelalama ajabu na kweli naye alishiriki kufanikisha uchafizi uliopita🤔.
 
wako biz kumnusuru mwenyekt wao na [emoji375] ya mh.hakimu .maana wakibugi anakula nyundo za maisha.
 
Chadema ni wapumbavu sana
Leo hii mmeanza kuwatukana chadema kwa kukaa kimya? Kumbe chadema wanaumuhimu sana kwa taifa hili?

Wana CCM ndo wanongoza kwa kuzimiss harakati za chadema, mlipoambiwa Upinzani uchelewesha maendeleo mlipiga makofi, Na waliposema wanataka kuufuta upinzani mlishangilia sasa ngoja tunyooshwe wote hakuna cha mwana CCM wala Chadema wote tunanyooshwa
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
Daktari mwenye taaluma ya wagonjwa wenye akili alielimisha kuwa hata waropokaji, pointless ni wagonjwa wake pia, ila wanatofautiana kwenye kuathirika kwa nyuzi zao
 
Sisi CHADEMA tumeridhika kabisa na kupanda huku kwa bei, Ni imani yetu kuwa bei zilizopanda haziwahusu UVCCM
Pia ni imani yetu kuwa haiwahusu waimba mapambio wote wa chukua chako mapema wa awamu hii na awamu tangulizi🤔.
 
Back
Top Bottom