Bidhaa zinazolipiwa kodi TRA

madia madia

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2017
Posts
717
Reaction score
701
Wanajamvi salam kwenu.

Naomba kuuliza kuwa je kama nimetumiwa zawadi ya vitu kutoka nje, je napaswa kulipia kodi TRA? Mfano nimetumiwa nguo kadhaa na Viatu, je ni Kiwango gani kinapaswa kulipiwa kodi na Kiwango gani hakipaswi kulipiwa kodi?

Naomba kuwasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…