madia madia
JF-Expert Member
- Sep 30, 2017
- 717
- 701
Wanajamvi salam kwenu.
Naomba kuuliza kuwa je kama nimetumiwa zawadi ya vitu kutoka nje, je napaswa kulipia kodi TRA? Mfano nimetumiwa nguo kadhaa na Viatu, je ni Kiwango gani kinapaswa kulipiwa kodi na Kiwango gani hakipaswi kulipiwa kodi?
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuuliza kuwa je kama nimetumiwa zawadi ya vitu kutoka nje, je napaswa kulipia kodi TRA? Mfano nimetumiwa nguo kadhaa na Viatu, je ni Kiwango gani kinapaswa kulipiwa kodi na Kiwango gani hakipaswi kulipiwa kodi?
Naomba kuwasilisha.