Bifu jipya mujini, Hamisa Mabeto vs Idriss Sultan

Numbisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
301,221
Reaction score
1,172,274
Haya hayaa dakika chachee tu baada ya mshind wa big brother na pia ni komedian maarufu hapa nchini Tanzania bwana idriss sultan kuandika caption kwa nia ya kumtakia heri ya kuzaliwa mwanamuziki diamond platnumz. Caption hio imemchukiza hamisa mabeto akihisi kasemwa yeye kiasi cha kumtolea mapovu idriss

CAPTION YA IDRISS


MAPOVU YA HAMISA NA JIBU LA IDRISS
 
Huyo Idrisa na ushamba ushamba wake alipata mamilion ya pesa akaenda kuyachezea kwenye mbunye nani alimuuliza sasa hivi anaganga njaa sijui clouds or what............ Idrisa ni vizuri kaaa mbali na maisha ya watu yake mwenyewe bado. awaze jinsi ya kutafuta soko la mokasi zake basi mengine waachie akina Soudy unakera
 
Bado hujamjua Idriss wewe.

Kwanza kuna muvi kadhaa amealikwa akacheze huko US na waigizaji wakubwa wa huko.

Pia ana miradi mingi sana inayomuingizia pesa kwa sasa.
 
kapanic buree..
huyo idd nnavoona ujumbe ni kama alikua anamuweka mwanaume mwenzie kwenye mstari
manake anamimbisha huku na kule bila mpangilio..matokeo kesho akiwa hayupo duniani ataacha watoto wake wakiteseka.
mtu mwenye zaid ya milion anashindwa kununua condom akaxuia hili la kuacha watoto wasio na familia za kujistir hapo kesho

na huyo mswahili kahis anasemwa kwa mafumbo...yani kapayuka nonsense vibaya mnoo
 
Bado hujamjua Idriss wewe.

Kwanza kuna muvi kadhaa amealikwa akacheze huko US na waigizaji wakubwa wa huko.

Pia ana miradi mingi sana inayomuingizia pesa kwa sasa.


Aisimamie hiyo miradi tujue moja huko kwenye shosho media anafanya nini na kujibizana wa wanawake wasiomhusu? Anatakwia ajulikana kwa matendo yake sio kwa kumsema Idrisa ananini unatakiwa uone kama tunavyona juice za Azam na mikate na maandazi
 
Aisimamie hiyo miradi tujue moja huko kwenye shosho media anafanya nini na kujibizana wa wanawake wasiomhusu? Anatakwia ajulikana kwa matendo yake sio kwa kumsema Idrisa ananini unatakiwa uone kama tunavyona juice za Azam na mikate na maandazi
Hujielewi wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…