Bifu kali la Lemutuz na Lulu

Status
Not open for further replies.
Ohooooo!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bahati nzuri hakumtaja jina, kwa hiyo hamna kesi hapo. Lulu amkumbuke wakili msomi kabisa, Mh TAL amsaidie kwenye kumhoji mlalamikaji.
 
Lulu ndio mchokozi,angemtetea gwajima bila kumuita le mutuz shoga.

Kuna wengi wanamchukia le mutuz humu ila muwe fair,huyo binti kazidi dharau
Akili kubwaaaz lazima apaniki kuambiwa unapumuliwa halafu ukijiangalia una mwili nyumba lazima mtu u-throw tantrums.
Visualize hiyo tuhuma... [emoji23][emoji23][emoji23] halafu imagine ingekua wewe unaambiwa unainamishwa.
 
hilo swali aulizwe mama lulu(yeye ndio anajua umri halisi wa lulu sio huu wa mitandaoni),na yeye kwann akubali kuchungulia watu wazima wakat ni under 18?
Ishu iliyo mezani ni jamaa na ushoga na sio mambo ya Kanumba maana Kanumba mwenyewe Ana kesi ya kujibu how come alikuwa anagonga under 18?!
 
Akili kubwaaaz lazima apaniki kuambiwa unapumuliwa halafu ukijiangalia una mwili nyumba lazima mtu u-throw tantrums.
Visualize hiyo tuhuma... [emoji23][emoji23][emoji23] halafu imagine ingekua wewe unaambiwa unainamishwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu le bebz super mtindiz anadiriki vipi kumtukana king of all social networks.
Atakuwa hajipend you know, anaanzaje kumtukana le gadem akili kubwaz.
Hajui kama le mutuz ni brand ambasador wa asas...
 
Sio mimi maana mie mdada haiwez niuma sana kama nikifikiria angeambiwa hivyo ndugu yangu wa kiume.

Mifano ya hivyo ni kupitiliza mipaka ya heshima.
Akili kubwaaaz lazima apaniki kuambiwa unapumuliwa halafu ukijiangalia una mwili nyumba lazima mtu u-throw tantrums.
Visualize hiyo tuhuma... [emoji23][emoji23][emoji23] halafu imagine ingekua wewe unaambiwa unainamishwa.
 
Aiseee..huyu jamaa ndo alitaka kupewa ubunge wa EAC kupitia thiethiem...alooo wakati mwingine kumbe wabunge wa thiethiem mnajitoaga akili tu makusudi ila kwa hili la kumpiga chini huyu 'kinda mzee' hapo mliamka
 
Lulu ndio mchokozi,angemtetea gwajima bila kumuita le mutuz shoga.

Kuna wengi wanamchukia le mutuz humu ila muwe fair,huyo binti kazidi dharau


Mwanao akinyea kiganja huwezi kikata ...hata wewe mkuu kidogo chako au mwanao akikukosea una muignore tu
 
Nimekuquote halafu nikakuita shoga bila kutaja jina ungepotezea au ungepanic kama jibu ulilotoa hapa?
Nimeuliza katajwa uyo anaetaka kuombwa radhi au kaamua kujitaja?huu upuuzi ni sawa na ule wa Jide kumshtaki Captain eti kaambiwa kakojozwa wakati ushahidi haujitoshelezi hapa anatafuta aibu tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…