Bifu kati ya wafanyakazi (walimu) na graduates (Jobles) inazidi kupamba moto

Bifu kati ya wafanyakazi (walimu) na graduates (Jobles) inazidi kupamba moto

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana

CWT iingilie kati kuiheshimisha hii kada iheshimike

FYU2KIZWYAM8w6q.jpeg
JamiiForums1715262602.jpg
 
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana

CWT iingilie kati kuiheshimisha hii kada iheshimike

View attachment 2302613View attachment 2302614



Hahahaha! Iko hivi, mwenye Nacho huongezewa,sasa mtu huna ajira,unataka upewe kishkwambi cha milioni 2,ukikimbia nacho? Alafu,ukiridhika na kukaa,ww ni mjinga wa mwisho,hii dunia ya kibepari,ni kupambana kama hata unacho,tafuta zaidi,kama mtu hunacho ukitegemea kuonewa huruma eti uwachiwe,huo ni ujinga na Uvivu wa kufikiri, mjinga alitumia boom kununua iPhone badala afanye mtaji anatoka huko chuoni bila pesa anakuja kulialia eti walimu wanazibia sensa. Mnaleta ubrazameni na usista duu mtaani. Pumbaf!
 
Hakuna siku walimu watapata nafuu.....washatiwa ujinga kipindi Cha kuchagua wawakilishi wao....nafasi wanapokwa na walimu walio makada wa CCM .....Sasa hapo mnategemea nini
 
Duu kweli mambo magumu,
Lakini pesa yenyewe si ni ya mara moja tuu haina muendelezo?
Na pia si wamefanya interview wanasubiri majibu? Chuki ya nini??
Naamini busara itatumika vijana ambao unawaita jobless watapata chance walau wapate mtaji..
Mtaani pagumu
 
Huko kwenye interview ya sensa wanasahili nini au ni mchakato wa majizi kuvuna pesa kwa kutengeneza activities?
 
Hao wanajiita kwamba hawana ajira walipendelewa wakati wa zoezi la anwani za makazi Kuna kitu gani Cha maana kilifanyika?

Walikuwa wanafika site saa 4 wapo careless, hawapendi kutumwa au kufuata maagizo kwa sababu sio uhalisia wa maisha yao

Na hakika hili zoezi kama watumishi wataondolewa kwa kiasi kikubwa wakabaki hawa vijana wa form 4 ambao bado wangali wabichi kwenye kazi nyeti Kama hii, tutakutana tena humu kutupiana vijembe Kama kawaida yetu
 
Hao wanajiita kwamba hawana ajira walipendelewa wakati wa zoezi la anwani za makazi Kuna kitu gani Cha maana kilifanyika?

Walikuwa wanafika site saa 4 wapo careless, hawapendi kutumwa au kufuata maagizo kwa sababu sio uhalisia wa maisha yao

Na hakika hili zoezi kama watumishi wataondolewa kwa kiasi kikubwa wakabaki hawa vijana wa form 4 ambao bado wangali wabichi kwenye kazi nyeti Kama hii, tutakutana tena humu kutupiana vijembe Kama kawaida yetu
Mkuu umeiweka vizuri mno, acha tu walimu wafanye hii kazi,
Jobless wameharibu sana zoezi la anuani za makazi, Kweli kibao kinaandikwa "BALABALA YA SOKONI LOAD"
Kwanza tuna wanafunzi waliomaliza vyuo vikuu hata kujieleza hawawezi, sasa mtu hata kujieleza kwa kujitambulisha ataweza kuuliza maswali ya dodoso kwa ufasaha kwenye sensa?
Lazima kuwe na mchanganyiko ili kazi ifanyike vizuri.
 
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana
1658694080248.png


Kule wenye akili zinazojitegemea na kujitosheleza wanawaonaje na kuwachukuliaje walimu
 
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana

CWT iingilie kati kuiheshimisha hii kada iheshimike

View attachment 2302613View attachment 2302614
Watu wana hasira,ajira ngumu kitaani,walimu wanakaba kona zote 🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha! Iko hivi, mwenye Nacho huongezewa,sasa mtu huna ajira,unataka upewe kishkwambi cha milioni 2,ukikimbia nacho? Alafu,ukiridhika na kukaa,ww ni mjinga wa mwisho,hii dunia ya kibepari,ni kupambana kama hata unacho,tafuta zaidi,kama mtu hunacho ukitegemea kuonewa huruma eti uwachiwe,huo ni ujinga na Uvivu wa kufikiri, mjinga alitumia boom kununua iPhone badala afanye mtaji anatoka huko chuoni bila pesa anakuja kulialia eti walimu wanazibia sensa. Mnaleta ubrazameni na usista duu mtaani. Pumbaf!
Mbona madaktari hawaombi hizo kazi za sensa? Mbona maafisa Tra nao hawaziombi? Mbona madereva hawaziombi? Kwa nn nyie tu?
 
Mkuu umeiweka vizuri mno, acha tu walimu wafanye hii kazi,
Jobless wameharibu sana zoezi la anuani za makazi, Kweli kibao kinaandikwa "BALABALA YA SOKONI LOAD"
Kwanza tuna wanafunzi waliomaliza vyuo vikuu hata kujieleza hawawezi, sasa mtu hata kujieleza kwa kujitambulisha ataweza kuuliza maswali ya dodoso kwa ufasaha kwenye sensa?
Lazima kuwe na mchanganyiko ili kazi ifanyike vizuri.
Wew nae punguza Ushamba na unafiki hivyo vibao vilikuwa vinaandikwa na waandika anuani za makazi au mafundi rangi? Acha kusambaza propaganda za kijinga.
 
Mbona madaktari hawaombi hizo kazi za sensa? Mbona maafisa Tra nao hawaziombi? Mbona madereva hawaziombi? Kwa nn nyie tu?
Labda hawajaomba huko kwenu mkuu.
Lakin hapa nilipo kada mbali mbali waliomba vzr kabisa na bahati nzuri Mimi nilikua miongoni mwa wasaili.

Alafu kingine Kuna kazi fulani hawapati muda Kama kada ya ualimu ,mfano hao tra ,madereva hawana muda kulinganisha na walimu, so msipende kuwangushia jumba bovu walimu wakati watu kibao tu walikua wanapigwa maswali kwenye interview ,walikwepo kilimo, afya,elimu plus jobless wa kutosha.
 
Back
Top Bottom