Bifu kati ya wafanyakazi (walimu) na graduates (Jobles) inazidi kupamba moto

Bifu kati ya wafanyakazi (walimu) na graduates (Jobles) inazidi kupamba moto

Wew nae punguza Ushamba na unafiki hivyo vibao vilikuwa vinaandikwa na waandika anuani za makazi au mafundi rangi? Acha kusambaza propaganda za kijinga.
Mbona povu limekutoka sana ulihusika kuharibu nini kwenye hilo zoezi?
Sensa ni zoezi sensitive sana ndiyo maana serikali imechanganya jobless na watumishi hasa walimu, nia ni njema kuwa na balance ili zoezi lisiharibike.
 
Mi naona Hakuna bifu lolote sema jf humu ndo tunakuzakuza haya mambo
 
Mi naona Hakuna bifu lolote sema jf humu ndo tunakuzakuza haya mambo
Hakuna bifu lolote na haliwezi kuwepo.
Sema kuna vijana wakila maharage matumbo yakijaa gesi basi wanafikiria kwa masaburi badala ya ubongo.
Sasa mtu ambaye amemaliza masomo na yuko mtaani atakuaje na bifu na anayefanya kazi. Wakati kunatakiwa orientation na succession plan kati yao.
 
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana

CWT iingilie kati kuiheshimisha hii kada iheshimike

View attachment 2302613View attachment 2302614
Jobless na siyo jobles.
Inaonekana wewe ni standard 7.
 
Mbona madaktari hawaombi hizo kazi za sensa? Mbona maafisa Tra nao hawaziombi? Mbona madereva hawaziombi? Kwa nn nyie tu?
Walimu wana tamaa za kisenge sana, kila kitu wanataka wafakamie tu ndio maana wanaishiaga kugongwa kende hovyo na ma DC. Wao ishu yeyote ya deiwaka lazma washobokee ila zama za shobo zimeisha.

Uchaguzi wao watakimbilia kuhesabu kura, sensa wao wanataka wawe makarani na watu wa tehama. Kipindi cha kuandikisha vitambulisho vya taifa waliibuka nako. Sasa hivi tuna pool ya graduates ambao ni jobless kwanini wasiachie wadogo zao wakapate riziki kidogo nao walainishe vyuma? Wanakazana kushindana na watoto wa mtaani wakati wao wako kwenye payroll ni fedhea sana kwa kweli.
 
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana

CWT iingilie kati kuiheshimisha hii kada iheshimike

View attachment 2302613View attachment 2302614
Khaa unajua vijana na watanzania wengi saana tumefikia pabaya!
Mi nilijua wengi kwenye kazi hii watalalamika kwa kuwa labda uendeshaji wa usaili haukuwa wa haki na vinginevyo,!

Kumbe wengi wananalamika eti kwa kuwa na watumishi nao waliomba!, Khaaa

Nakumbuka kuna mwanachama mmoja wa ccm alishawahi kulalamika juu wale wanaohamia ccm kupata vyeo wakati wenye ccm wapo tu,, magufuli akawajibu ufanisi na jitahada zao ndio zinawapa hivyo vyeo.

Kwahyo kama hakukuwa na namna yyt ya upendeleo hakuna haja yakulalamika maadam wote mlipita kwenye njia moja na yule aliyeonekana bora amechukuliwa basi we subiri tu zam yako.

Maana hili kwenye nchi yetu sio dhambi mtu mmoja kushika nyadhifa zaidi ya moja kawaida tu.
 
Hapa katikati naona kama bifu kati ya wafanyakazi hasahasa walimu na jobless inazidi kuota mizizi
hii nibbaada ya walimu wengi kupigana vikumbo na jobless kwenye kazi za sensa

ongezeko la mshahara wa 23.3% isiyoeleweka limefanya walimu wadhihakiwe kila sehemu,

sasaivi kila kitu wanaangushiwa walimu dhihaka zote wanatupiwa walimu

lakini vingine walimu mnasababisga wenyewe kazi za sensa mnataka nyie, kazi za tume ya uchaguzi mnataka nyie kwanini msiwe mnawaachia na wasio na ajira?

uongi mbaya mtaendelea kudharaulika sana

CWT iingilie kati kuiheshimisha hii kada
ndo madhara ya kusoma madesa na kushindwa kupata maalifa, kwahyo unaona mwalimu hana haki ya kuomba hzo ajira za mda mfupi, mda mwn mwngne hao jobless hawaaminiki lkn ukikaa kilaumu mwalimu utafkili yeye ndo anaajili utakufa masikini
 
Duu kweli mambo magumu,
Lakini pesa yenyewe si ni ya mara moja tuu haina muendelezo?
Na pia si wamefanya interview wanasubiri majibu? Chuki ya nini??
Naamini busara itatumika vijana ambao unawaita jobless watapata chance walau wapate mtaji..
Mtaani pagumu
kuna watu wanahela wanatafuta vjana wapambanaji lkn hao jobless hasa dgree holder ni wavivu sana hvo utaishia kulalamika tu hata hao waajiriwa malalamiko hayaishi kwao na kumbuka mshahara haotoshi hvyo lzna nao wapambanie hzo ajra za mda mfup
 
Labda hawajaomba huko kwenu mkuu.
Lakin hapa nilipo kada mbali mbali waliomba vzr kabisa na bahati nzuri Mimi nilikua miongoni mwa wasaili.

Alafu kingine Kuna kazi fulani hawapati muda Kama kada ya ualimu ,mfano hao tra ,madereva hawana muda kulinganisha na walimu, so msipende kuwangushia jumba bovu walimu wakati watu kibao tu walikua wanapigwa maswali kwenye interview ,walikwepo kilimo, afya,elimu plus jobless wa kutosha.
Acha uongo
 
Duu kweli mambo magumu,
Lakini pesa yenyewe si ni ya mara moja tuu haina muendelezo?
Na pia si wamefanya interview wanasubiri majibu? Chuki ya nini??
Naamini busara itatumika vijana ambao unawaita jobless watapata chance walau wapate mtaji..
Mtaani pagumu
Mtaji kwa kiasi hicho kinachosemekana kuwa 60,000/? Mungu atusaidie.
 
Back
Top Bottom