Bifu kati ya wafanyakazi (walimu) na graduates (Jobles) inazidi kupamba moto

Wew nae punguza Ushamba na unafiki hivyo vibao vilikuwa vinaandikwa na waandika anuani za makazi au mafundi rangi? Acha kusambaza propaganda za kijinga.
Mbona povu limekutoka sana ulihusika kuharibu nini kwenye hilo zoezi?
Sensa ni zoezi sensitive sana ndiyo maana serikali imechanganya jobless na watumishi hasa walimu, nia ni njema kuwa na balance ili zoezi lisiharibike.
 
Mi naona Hakuna bifu lolote sema jf humu ndo tunakuzakuza haya mambo
 
Mi naona Hakuna bifu lolote sema jf humu ndo tunakuzakuza haya mambo
Hakuna bifu lolote na haliwezi kuwepo.
Sema kuna vijana wakila maharage matumbo yakijaa gesi basi wanafikiria kwa masaburi badala ya ubongo.
Sasa mtu ambaye amemaliza masomo na yuko mtaani atakuaje na bifu na anayefanya kazi. Wakati kunatakiwa orientation na succession plan kati yao.
 
Jobless na siyo jobles.
Inaonekana wewe ni standard 7.
 
Mbona madaktari hawaombi hizo kazi za sensa? Mbona maafisa Tra nao hawaziombi? Mbona madereva hawaziombi? Kwa nn nyie tu?
Walimu wana tamaa za kisenge sana, kila kitu wanataka wafakamie tu ndio maana wanaishiaga kugongwa kende hovyo na ma DC. Wao ishu yeyote ya deiwaka lazma washobokee ila zama za shobo zimeisha.

Uchaguzi wao watakimbilia kuhesabu kura, sensa wao wanataka wawe makarani na watu wa tehama. Kipindi cha kuandikisha vitambulisho vya taifa waliibuka nako. Sasa hivi tuna pool ya graduates ambao ni jobless kwanini wasiachie wadogo zao wakapate riziki kidogo nao walainishe vyuma? Wanakazana kushindana na watoto wa mtaani wakati wao wako kwenye payroll ni fedhea sana kwa kweli.
 
Khaa unajua vijana na watanzania wengi saana tumefikia pabaya!
Mi nilijua wengi kwenye kazi hii watalalamika kwa kuwa labda uendeshaji wa usaili haukuwa wa haki na vinginevyo,!

Kumbe wengi wananalamika eti kwa kuwa na watumishi nao waliomba!, Khaaa

Nakumbuka kuna mwanachama mmoja wa ccm alishawahi kulalamika juu wale wanaohamia ccm kupata vyeo wakati wenye ccm wapo tu,, magufuli akawajibu ufanisi na jitahada zao ndio zinawapa hivyo vyeo.

Kwahyo kama hakukuwa na namna yyt ya upendeleo hakuna haja yakulalamika maadam wote mlipita kwenye njia moja na yule aliyeonekana bora amechukuliwa basi we subiri tu zam yako.

Maana hili kwenye nchi yetu sio dhambi mtu mmoja kushika nyadhifa zaidi ya moja kawaida tu.
 
ndo madhara ya kusoma madesa na kushindwa kupata maalifa, kwahyo unaona mwalimu hana haki ya kuomba hzo ajira za mda mfupi, mda mwn mwngne hao jobless hawaaminiki lkn ukikaa kilaumu mwalimu utafkili yeye ndo anaajili utakufa masikini
 
kuna watu wanahela wanatafuta vjana wapambanaji lkn hao jobless hasa dgree holder ni wavivu sana hvo utaishia kulalamika tu hata hao waajiriwa malalamiko hayaishi kwao na kumbuka mshahara haotoshi hvyo lzna nao wapambanie hzo ajra za mda mfup
 
Acha uongo
 
Mtaji kwa kiasi hicho kinachosemekana kuwa 60,000/? Mungu atusaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…