aaaah hajawajua vzr wabongo ngoja kwanza ndo wanamkaribisha town aone magorofaTeh teh teh na akijikuna tunamuongezea na bakora.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anataka arudi kwao akalime Korosho, hawajui wabongo vizuri.
Mbongo ni nani?Teh teh teh na akijikuna tunamuongezea na bakora.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] anataka arudi kwao akalime Korosho, hawajui wabongo vizuri.
Wala sio kwamba namtetea kwasababu ya Mapenzi, nilichosema ni kwamba Harmo hakumtaja Wema(kwa kinywa chake) waliomtaja ni Wengine hapo ndio kuna utataKamtaja na mwenyewe ame admit kuwa wamepanga huo WcF kuwa wamseme Wema ili waupe kiki mwimbo wao mpya.
Au na hiyo clip hujaisikia pia, mana mwenzetu una mapenzi na hao Harmonize hadi nyekundu unaiona njano
Kuna show alifanya tanga, alikiimba icho kipande na akamtaja Wema, dogo kakosea.Wala sio kwamba namtetea kwasababu ya Mapenzi, nilichosema ni kwamba Harmo hakumtaja Wema(kwa kinywa chake) waliomtaja ni Wengine hapo ndio kuna utata
Nimechekaaaaa nyiee watu sio wazuriii...mwezenu kajielezeaaaaUsiku anakesha miguu anairoweka kwenye maji, asubuhi anaenda kusinzia kwenye pepa.[emoji38] [emoji38] [emoji38]
HahahahTeam wema wanamatus usithubutu kukutwa na team wema
Hahaha....yan wewe acha yan leo nimecheka mpk bhaxKuna matusi mapya nimeyafahamu leo huyu kijana kachambika
[emoji23][emoji23]
Raymond anatafuta kiki kwa kuhama wasafi kwenda kwa kibahuyu Harmonise ni kidomo domo mno hana tabia za kiume mbona mwenzie Raymond hana maneno ya kishangingi kama yeye?!
Lini na wapi Wema alishamtukana dai au tiffa...Matusi yanatoka kwenye timu zao..Timu Dai wanamtukana Wema na Kina,Timu Wema wanamtukana zari na dai....yaaani fans wao ndo watukanajii wakubwa....Hahahahahah huyo Wema ndio malkia wao huko instagram ana followers million + ila akiitisha party wanakuja watu 50.. Lipstick zake alianza kuuza elfu 50 sasa hivi zimefika elfu 5. Sijui anafaidikaje na hii team huyu Wema. At least Diamond anapata watu wa kumpigia kura na kwenda kwenye shows na Ali Kiba ametumia fursa vizuri sasa anapata wapiga kura na views nyingi.. All in all matusi wote wanatukana huyo Wema anamtukana mpaka mtoto wa Diamond. So sioni tatizo lolote kwa huyo kijana kufanya mwendelezo.
Raymond anatafuta kiki kwa kuhama wasafi kwenda kwa kibahuyu Harmonise ni kidomo domo mno hana tabia za kiume mbona mwenzie Raymond hana maneno ya kishangingi kama yeye?!
huyu Harmonise ni kidomo domo mno hana tabia za kiume mbona mwenzie Raymond hana maneno ya kishangingi kama yeye?!
Mimi na wewe na yule na wale.Mbongo ni nani?