Bifu la konk! Konk! Konk! (Dudubaya) na Mange Kimambi ni balaa

Bifu la konk! Konk! Konk! (Dudubaya) na Mange Kimambi ni balaa

Bilionea kid

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2018
Posts
581
Reaction score
519
Mwambieni mamba aseme suu me sio shabiki WA udaku lakini
nataka nione mbambe Nani Kati ya dada wa taifa na konk master
Screenshot_20181105-213942.png

Aisee! Hii movie imefika patamu

wacha tuone

konk konk konk master
 
Mange anaendelea kumpa kiki konk master naona konk master akichekelea kwa mbali jinsi jina lake linavyoendelea kukua.

Baada ya mange kutulia konk kaamua amchokonoe kwa kumuita mange anakitako kidogo kama ndimu yote hayo dudu anataka aendelee kuongelewa
 
Mange anaendelea kumpa kiki konk master naona konk master akichekelea kwa mbali jinsi jina lake linavyoendelea kukua.

Baada ya mange kutulia konk kaamua amchokonoe kwa kumuita mange anakitako kidogo kama ndimu yote hayo dudu anataka aendelee kuongelewa
Me nasubir aseme suu nione da mange atapost nn inaonesha nkitu kikubwa Sana
 
Ama credit gan na kwa nani!??
Zamani mimi binafsi kabla ya kumjua vizuri nilidhani ni mwanaharakati mmoja smart sana
Ila tokea alivoshare video ya mzee lemutuz na kuanza kutukana watu
Sipitii hata page yake
Am sure kuna watu pia walikua wakimkubali lakini baada ya yeye kujihusisha na mambo ya ajabu wamempotezea
 
Back
Top Bottom