Bifu la konk! Konk! Konk! (Dudubaya) na Mange Kimambi ni balaa

Mange anaendelea kumpa kiki konk master naona konk master akichekelea kwa mbali jinsi jina lake linavyoendelea kukua.

Baada ya mange kutulia konk kaamua amchokonoe kwa kumuita mange anakitako kidogo kama ndimu yote hayo dudu anataka aendelee kuongelewa
 
Me nasubir aseme suu nione da mange atapost nn inaonesha nkitu kikubwa Sana
 
Ama credit gan na kwa nani!??
Zamani mimi binafsi kabla ya kumjua vizuri nilidhani ni mwanaharakati mmoja smart sana
Ila tokea alivoshare video ya mzee lemutuz na kuanza kutukana watu
Sipitii hata page yake
Am sure kuna watu pia walikua wakimkubali lakini baada ya yeye kujihusisha na mambo ya ajabu wamempotezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…