Bifu la Lady jay Dee na clouds media linazidi

Huyu dada alifanya kazi pale Clouds,
Mumewe pia,
Kwa utafiti wangu mdogo siku za nyuma Clouds walikuwa wakipiga sana nyimbo za JD pengine kuliko za msanii yeyote wa ndani na nje ya nchi,
Leo hii hawapigi nyimbo zake (hata zile alizoshirikishwa hawapigi sauti yake!)
Leo hii dada huyu analalama!

Naamini kuna KITU KIMEJIFICHA HAPA tuwaachie wenyewe wanajuana hawa!
 
 
Wamemtumia ndio kaja kujistukia now? hahahaha pole zake, zamani alikuwa ndio Munguz eh!
 
Mkuu hapo umenena... Ruge ameshamega sana hapo, sasa kinachotokea sasa ni WIVU WA MAPENZI... Mbona kipindi kile anamegwa hakukuwa na bifu...

kumbe ndo wale wa wivu sina ila roho inauma ha!ha! napita kama name yangu.........
 
akumbuke ruge ndio aliemtoa kupitia smooth vibe
 
Kuna anayeamini kuwa Ruge na Kusaga ni mungu?

Halafu bifu yake dhidi ya hiyo redio ni nini haswa?


kapokonywa tonge mdomoni kama Sugu uku deal imeshamachua,ishu ya kipesa zaidi....wala sio kupigiwa nyimbo zake kama wapumbavu waliopita wanavyosema.
 
redio hii ndo inadidimiza wasanii JD komaa 2 mama mapinduzi huwa hayaletwi na jopo la watu kama ipo ipo tu utafanikiwa mabwiga wanaoponda achana nao
 
clouds hawajamjibu ila they take reaction kimya kimya...wameweka tangazo mjengon kwao...ni marufuku kupiga nyimbo za jide,kumuongelea,wala tangazo lolote lililofanywa na gadner..yaan chochote kinachohusu jide na mumewe..ni marufuku kusikika clouds....hata peter mo pia hapigi grooveback tena nyumbani lounge......sie watazamaji tuone mwisho wake itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…