Bifu la Lulu, Hamisa: Mange amlipua Majizo

Mimi mwenyewe namkubali sana kila Sikh lazima nipate post zake
 
Binafsi nimependa na utetezi wake. ...yani kuna dhana mbaya Tanzania mtu akitoboa basi muuza madawa.
 
Niliwahi kujiuliza huyu Majizo mbona kawa mcharo gafla,
Kumbe ni le ungaz?
 
Hekima za Suleiman(Mithali)
 


Tanzania kila kijana anajitoa muhanga kuuza pipi chafu, akipata pesa anafikiria kuchafua madada wasiojitambua kiasi kwamba mpaka wanafikia kuchafuana kugombania pumbu huku mwenye pumbu za umma akiwacheka. Mwanamke asiyejitambua will always fight for a guy hata kama akijuwa jamaa ni kicheche, yeye anachotaka tu ni kutunzwa na kujitapa kwa wenzake. Time has come for mademu wa kibongo kujitambua, kwa kweli wanatia kichefuchefu.
 
Yaani wanamuita Lulu Sijui techno sijui nini angekuwa yupo chini hivyo na katika kumudu mwanaume na kuhudumia unafikiri wangewaacha walionao...mtoto na damu ya kule nayo ni balaa, amefundwa vizuri...wengi inabidi wamuulize wajifunze na sio kumkejeli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…