warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Lile bifu lililowahi kutokea kati ya muigizaji maarufu, Lulu Michael na video queen maarufu nchini Husna Maulid limeingia ukurusa mpya, ambapo ivi sasa muigizaji huyo ameibuka hadharani na kumtaka hasimu wake huyo kukaa mbali na yeye kwani hamuwezi kwa lolote. Chanzo cha bifu ni mwanaume ambaye awali alikuwa akitoka na Husna na baadae muigizaji huyo kumpiku rafiki yake, ambapo aliiba namba ya mwanaume huyo na kuanza kujitongozesha...
Msikilize Lulu chini;
"Haya haya... Mwenzenu uswahili niliacha sema naomba leo niuridie kdgo ️na Tafadhali kwa ndugu, jamaa, Marafiki ️na yyte. Mwenye uwezo wa kumfikia Mtu anaitwa HUSNA MAULIDI mtanisaidia ku munch ️na kumfikishia huu ujumbe....
ANGALIZO: Post hii itakaa kwa dk5 tu....sihiitaji Post Virus in my New n fresh Page...!
Mwambieni na YEYE nilishamwambia ANIACHE mana inaonekana hawezi kukaa muda bila kunitaja au kuniongelea..!
️Ni hivi huu ni mwaka wa pili probably umekuwa UNAONGEA SANA on social media Lkn mm Nakaa kimya...Sio mjinga mwenzio...nakuepuka usijekuwa unatafuta pa kufia bureee...2nd stop competing wth me shooo tuko tofaaaaaaaaaautiiiiii my friend������
Hivi ushangai mtu hana Muda ️na ww LKN we hakukauki mdomoni..!
Me sikutukani ila naomba ujumbe ukifie tu....ungefanya kama hujawahi kuniona wala kunijua tokea umezaliwa mana me nishafanikiwa kwa hilo.. hakuna kipengele ulichobaki kwenye akili yangu hata kwa bahati mbaya..! I thnk ukiacha kutafuta Kiki za kisen** kupitia mm bdo utakuwa wewe tu n nothing will change...! Oky bi dada
Angalizo: Sio kama sijui matusi na maneno ya shombo ninayo pia ila nimeamua kutumia Busara tu...!"
Aliandika staa huyo kwenye ukurasa wake wa instagram.
Msikilize Lulu chini;
"Haya haya... Mwenzenu uswahili niliacha sema naomba leo niuridie kdgo ️na Tafadhali kwa ndugu, jamaa, Marafiki ️na yyte. Mwenye uwezo wa kumfikia Mtu anaitwa HUSNA MAULIDI mtanisaidia ku munch ️na kumfikishia huu ujumbe....
ANGALIZO: Post hii itakaa kwa dk5 tu....sihiitaji Post Virus in my New n fresh Page...!
Mwambieni na YEYE nilishamwambia ANIACHE mana inaonekana hawezi kukaa muda bila kunitaja au kuniongelea..!
️Ni hivi huu ni mwaka wa pili probably umekuwa UNAONGEA SANA on social media Lkn mm Nakaa kimya...Sio mjinga mwenzio...nakuepuka usijekuwa unatafuta pa kufia bureee...2nd stop competing wth me shooo tuko tofaaaaaaaaaautiiiiii my friend������
Hivi ushangai mtu hana Muda ️na ww LKN we hakukauki mdomoni..!
Me sikutukani ila naomba ujumbe ukifie tu....ungefanya kama hujawahi kuniona wala kunijua tokea umezaliwa mana me nishafanikiwa kwa hilo.. hakuna kipengele ulichobaki kwenye akili yangu hata kwa bahati mbaya..! I thnk ukiacha kutafuta Kiki za kisen** kupitia mm bdo utakuwa wewe tu n nothing will change...! Oky bi dada
Angalizo: Sio kama sijui matusi na maneno ya shombo ninayo pia ila nimeamua kutumia Busara tu...!"
Aliandika staa huyo kwenye ukurasa wake wa instagram.