edwin george
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 1,218
- 981
Kwenye nyuzi kama hizi uwe unamuita na unnieMhhhhhhhh hii ni mpya tena,hebu tudadavulie ubuyu mkuu [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lulu anakosea jambo 1 tu,angeyaweka mapenzi yake sirini kama ilivyokuwa kwa marehemu Kanumba.
Kujishaua mashauzi kibao tena mtu mwenyewe ndio huyo vyanzo vya fedha mashaka matupu ni risk.
Mapenzi ya wazi atuachie anonymous
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaume wengi huacha wanawake.waliozaa nao.Ndiyo wanaume wajifunze, Majizzo kamuacha hamissa aliezaa nae kakimbilia kwa Lulu matokeo yake mikosi hiyo.
Umemsahau bilionea wa mererani naye aliangukia tu meza akafaLulu kila mti anaojitahidi kushika unateleza...
Kanumba alivuta.
Kapteni mbunge wetu naye akavuta.
Majizo naye ataozea selo...
Lulu ana nini Lulu??
Shilawadu.................Mnakula tu ubuyu.
We huijui marekani na nguvu ya mahakama zao.Hiyo ni ndoto don't compare marekani na usariver muongelee mange but marekani homeless wananguvu sawa na tax payers....
Halafu ndio kwanzs februarympaka huu mwaka uishe tutakua tumeona mengi
[emoji23] Ila mbona amejitahidi sana jamani kuwa msiri?Lulu anakosea jambo 1 tu,angeyaweka mapenzi yake sirini kama ilivyokuwa kwa marehemu Kanumba.
Kujishaua mashauzi kibao tena mtu mwenyewe ndio huyo vyanzo vya fedha mashaka matupu ni risk.
Mapenzi ya wazi atuachie anonymous
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mange hampendi Lulu kabisa.Hajapata angle nzuri ya kumchambua.Na vilevile ukaribu wa Familia ya Lulu na Wema unamwokoa.Ngoja lulu akusikie
Ila warumi... huyo mmiliki wa resio yupo ndani au nje????? Sidhani kama kuna bifu kati ya mange na luku...la sivyo mange angemchamba lulu live na lulu alivyo na majibu ya mwendokasi lazima angetuachia ibuyi insta
Alikuwa anatembea naye.Akina Kiba wakamkwapuaMhhhhhhhh hii ni mpya tena,hebu tudadavulie ubuyu mkuu [emoji39]
Umemsahau chusa mfanyabiashara wa tanzanite nae alivuta tena siku ya sherehe za kuzaliwa Lulu, mpaka leo Lulu hajathubutu kufanya sherehe ya kuzaliwa ukumbini ile issue imemuachia kumbukumbu mbaya sana kwenye siku yake muhimu.Lulu kila mti anaojitahidi kushika unateleza...
Kanumba alivuta.
Kapteni mbunge wetu naye akavuta.
Majizo naye ataozea selo...
Lulu ana nini Lulu??