Bifu la Lulu na Mange

Shoga anguu!!mwanamke km huyo wa nini...

Maana miye nilikua nahesabia siku tumzike majizzo..Mara ghafla jela[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...

Mi km ndugu yangu!!!namshauri akimbie mbiooo
Majizzo apige chini Lulu na arudi kwa Hamisa wake.
Period [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 


Huna tofauti na mimi sijawahi mpenda Lulu toka nimjue mpk leo
 
tena alivyokua anamrusha roho mwenziwe na wapambe wakeee...looohh!!

yaani baba g na mama g...hamisa alikua anaumia kweli haswaa...!!

na team lulu wakiongozwa na malkia was kuchamba walikua wanamchamba hamisaa jamani daahhh!

halafu anapenda kuiba mabwana za wenyewe nakumbuka ashachanjwa nyembe yule mtoto kkoo na mke wa mtu
seki alimnyang'anya husna maulidi na ndo ushosti ukafaa

anaangalia wapi Kuna danga la maana analiiba fasta na kale si bure kachawi
 
Lulu anatakiwa kufanyiwa deliverance anaugaa mapepo mengi mno..
 
Ninahisi kwasababu Lulu alitoka na mijibaba yenye pesa ilibidi aweke uhusiano wake uwe siri, baada ya kumpata Majizzo na yeye aliamua kuwakoga wabaya wake kuwa ana kijana ambae hajaoa tena mwenye pesa.
 
alikuwa kwake anasubiri muda ufike akamp lulu zawadi ya vogue...kwenye bday
akawa amekaa juu ya meza ya kioo ghafla ikapasuka ikamchoma kapelekwa hospital na kifo juu
Heeee LIVOGUE kumbe?

***** tungemkoma lulu..

Hapa yenyewe ana HARRIER full nyodokolosi je ingekuwa anadrive Vogue?!
 
Heeee LIVOGUE kumbe?

***** tungemkoma lulu..

Hapa yenyewe ana HARRIER full nyodokolosi je ingekuwa anadrive Vogue?!
vogue mamaaa...ikaishia kwa mkewe Mungu fundii
[emoji3] tuñgeteketea hapa mjini maana mtoto ana nyodo yule za pesa..
anajua kutumia aiseeehhh
 
Hiyo ni ndoto don't compare marekani na usariver muongelee mange but marekani homeless wananguvu sawa na tax payers....
marekani homeless wananguvu sawa na tax payers....Haaa haaa Duh!Homeless kwani Mange anaishi street?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…