Bifu la P-Funk na Wasafi Litafikia Kikomo?

Mzee unachanganya madesa, kilichotumika hadi kusababisha majani alipwe ni beat tu tena alieifikisha huko duniani ni kinyonga wa uganda, prof alikiri kuwa yeye hakuwa na haki zozote kwenye ile beat, nenda katafute wimbo unaoitwa bomboclaat wa josee feat weasel
 
Ila mshaurini Majan nae Atulie Sasa awe kama Yule Mchaga Master J.
.
Ujue kuongeaongea Nako Tena Kwa umri wake Nako sio Kuzuri, watt Hawa Wana midomo michafu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ila mshaurini Majan nae Atulie Sasa awe kama Yule Mchaga Master J.
.
Ujue kuongeaongea Nako Tena Kwa umri wake Nako sio Kuzuri, watt Hawa Wana midomo michafu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Master Jay yupo vizuri pili jamaa ana degree ya Electrical Engineering kutoka Uholanzi plus Sound Engineering, elimu inasaidia na ndio mana wasanii weliosoma miaka ya nyuma pamoja mziki kuwakataa il bado wapo vizuri.
 
Okay sawa vipi hao akina Nature, Inspector na wengineo wengi waliokuwa kwenye label yake,manake mgao siku hizi Cosota waanza kuutoa japo kwa kusuasuana mpaka sasa hatujui mikataba yao ilikiwaje.
 
Ni upumbavu mtu Kama Sallam kusema maneno kama hayo, ameshusha heshima yake Wala hajapiga popote
 
Master Jay yupo vizuri pili jamaa ana degree ya Electrical Engineering kutoka Uholanzi plus Sound Engineering, elimu inasaidia na ndio mana wasanii weliosoma miaka ya nyuma pamoja mziki kuwakataa il bado wapo vizuri.
Kama sikosei p funk pia Ana elimu
 
Kama sikosei p funk pia Ana elimu
Sijajua level yake, ila Master kichwa ana kampuni yake inapokea tenda kujenga jamaa anapata tenda mpaka Comoro nasikia kuanzia ujenzi mpaka umeme.

Ndio maana humsikii sana kupigizana kelele.

Ila yote kwa yote wanasheria wanahitajika sana kwenye mziki wa bongo fleva japo wasanii na washikadau hawa washirikishi mwanzoni wakipigwa wanaanza kulalamika ,ila kama wange washirikisha wanasheria wangekuwa na wanakula matunda na siku hizi kuna wanasheria wengi na hawahitaji hela nyingi.

Mfano kuna wasanii leo wananing'inia juu ya mabango, wakati mikataba yao ishaisha na hizo kampuni. Kwa wenzetu ulaya wasanii hawafanyi chochote bila kuwa shirikisha wanasheria,kampuni ikifanya mistake kama hiyo basi ishampa utajiri msanii.
 
Majani hana jipya na huyo sallam wake

Majani ni mda wake umepita kashaporwa majungu mengi hana cha maana kanyonya sana waulizwe wakina juma nature kapiga pesa za professor jay album kibao za wasanii kweny platform anachukua asilimia fulani likae tu like pesa angeenda huko uholanzi kwao

Mziki wa miaka hyo majani ,master j na huyo ruge walikuwa kama miuungu kucontrol kila kitu kila msanii lazima wapigwe asilimia wamnyoye sasa zama zimebadilika hata wcb itakuja kufa

Llikuwa Malaya limekuwa lizee limepata akili jing kabisa kuzalisha watoto wa watu na paula ujinga karithi kwa baba ake malipo hapa duniani kazalisha kila kona ndo hapa vijana tujitambue uhuni una mwisho wake simkubali majni hata asilimia zero
 
Ukisikia mtu kachomwa visu ndio hii inakuwa sababu
 
Majani ana wivu madogo wanapiga pesa yeye mda wake umepita anashindwa kuheshimu biashara za watu piga hesabu hao yamoto Band siku moja aslay "Anatamani angekuwa na management kubwa kama ya wcb kwani anapenda management ya wcb inavyomfanyia mbosso "

Ile ni biashara ndo maana kuna mda wanaondoka

Majani akili hana anataka watuw wamuabudu mda umepita kwa sasa madogo Wana pesa wanachukua mkewe na mwanae wivu bongo kawaida hana mpya na huyo master j wake wamponde harmonize kweny Bss hana kipaja kachukuliwa na wasafi kafika mbali wanasema ananyonywa

Hao wakina majani ndo walitaka kumaliza game ya bongo walikuwa wanaabudiwa kila kitu wao mda umepita
 
Acha uongo kwenye Ile movie ilitumika beat ya nikusaidieje na sio wimbo WA nikusaidieje... Beat ni Mali ya producer na sio Msanii. Mashairi katika wimbo ndio Mali ya Msanii ..kwenye movie walitumia beat sio wimbo kilaza wewe

.unadhani wazungu ni mafala kumpa hiyo hela Pfunk kama producer ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Master Jay yupo vizuri pili jamaa ana degree ya Electrical Engineering kutoka Uholanzi plus Sound Engineering, elimu inasaidia na ndio mana wasanii weliosoma miaka ya nyuma pamoja mziki kuwakataa il bado wapo vizuri.

Master J amesoma UK ,hata P Funk amesoma Sound Engineering
 
Okay sawa vipi hao akina Nature, Inspector na wengineo wengi waliokuwa kwenye label yake,manake mgao siku hizi Cosota waanza kuutoa japo kwa kusuasuana mpaka sasa hatujui mikataba yao ilikiwaje.
Umewahi kusikia juma nature analalamika kunyonywa na Bongo records ?

Hebu taja Msanii tangu enzi hizo WA Bongo records alilalamika kuzurimiwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hizo ndio huwa silaha za wajinga jinga.
 
Umewahi kusikia juma nature analalamika kunyonywa na Bongo records ?

Hebu taja Msanii tangu enzi hizo WA Bongo records alilalamika kuzurimiwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
We unajuaje kama hawalalamiki punguza shobo mjani hana kitu dhulmati kabisa yule hao wasanii walishatemana nae kitambo mpaka limzeeka malipo ndo haya anayofanyiwa mwanae na mkewe kuchezewa

Lilijifanya linajua kila elimu za mchongo kwenda kusoma nje kutumia pesa nyingine uwezo mdogo kwa vile


Wamedhulumu sana wakati wao umeisha nyie machoko kumtetea mjani mtu mbaya sana kujifanya kila yeye
 
Umewahi kusikia juma nature analalamika kunyonywa na Bongo records ?

Hebu taja Msanii tangu enzi hizo WA Bongo records alilalamika kuzurimiwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo msanii kuto kulalamika manake hawaibiwi?

Hivi why WCB vipi kuhusu hizo label nyingine nazo, wasanii wao wanapewa % ngapi, vipi haki miliki,mikataba yao? Why WCB manake atleast financial wasanii wa WCB tunawaona wapo vizuri vipi hao walabel nyingine ?

Ila kaa ukiju label zote including ya kwake mwenyewe hamna inayo mlipa msanii zaidi ya 50%,Nyingi Label 60 msanii 40 au 70 msanii 30 nenda Nigeria kule msanii mpaka jina linamilikiwa na label sababu wamelibrand wao kama ukitoka basi ili uendelee kulitumia basi unabidi ulipe gharama za branding.

Hawa akina Wiz,Davido, Badoo,Don Jazzy nk label zao ukichunguza msanii kalipwa sana 30 au 40.

Mziki wa sasa huwezi fananisha na enzi zao siku hizi kuna promo za kwenye redio (local na International),TV za ndani na nje,kwenye digital platforms,bado hujatengeza image ya mtu kwenye mwonekano na mavazi, bado video zenye quality za kupigwa kwenye vyombo vikubwa na ndio maana ukimtoa Lavalava ,wasanii wote wa waliotolewa WCB wanauwezo wakupiga show EA na wakajaza na kupata mialiko ya show nje ya nchi,Sasa jiulize, KWA NINI LABEL NYINGINE ZINASHINDWA?
 
Vipi na hela anazo zipokea Cosota? Sababu ukitizama Cosota awamu hii ya kwanza walifanya mistake maproducer hawakulipwa ila yeye kalipwa (japo sio hela nyingi kivile) ,manake mpaka ukiona hivyo kuna badhi ya nyimbo 100% zina milikiwa na Bongo records.
 
Hujui hata unachoandika, you better shutoff your fucken mouth !



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…