Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
P Funk Majani Ni Bulldozer.
Amechonga Barabara kubwa katika Sanaa ya mziki ambayo Hadi Kufika leo Hapa Inatakiwa Tumpe Maua Yake.
Kitendo Cha Sallam Kumjibu vibaya ni Kumkosea heshima.
................
Baada ya mahojiano aliyoyafanya Producer mkongwe hapa nchini Pmajani na Bongofive ambapo alieleza namna WCB inavyowakandamiza wasanii wake pale wanapotaka kutoka katika lebo hiyo.
Msanii Babalevo alipost kupitia Instagram yake na kutoa maoni na baada ya maneno hayo kuyaona Majani alikuja kwenye comment na kudadavua namna wasanii na maproducer akiwatolea mfano lizerclassic na s2kizzy wanavyonyonywa stahiki zao pale wanapofanya kazi na WCB lakini pia akienda mbali zaidi akiwatolea mfano Rayvanny na Harmonize.
Baada ya comment hiyo alikuja meneja wa Diamondplatnumz sallam_sk na kumtolea povu Majani kwa kueleza pia Majani alivyowanyonya wasanii na kudai kuwa anaishia kuwapiga hao wasanii.
Amechonga Barabara kubwa katika Sanaa ya mziki ambayo Hadi Kufika leo Hapa Inatakiwa Tumpe Maua Yake.
Kitendo Cha Sallam Kumjibu vibaya ni Kumkosea heshima.
................
Baada ya mahojiano aliyoyafanya Producer mkongwe hapa nchini Pmajani na Bongofive ambapo alieleza namna WCB inavyowakandamiza wasanii wake pale wanapotaka kutoka katika lebo hiyo.
Msanii Babalevo alipost kupitia Instagram yake na kutoa maoni na baada ya maneno hayo kuyaona Majani alikuja kwenye comment na kudadavua namna wasanii na maproducer akiwatolea mfano lizerclassic na s2kizzy wanavyonyonywa stahiki zao pale wanapofanya kazi na WCB lakini pia akienda mbali zaidi akiwatolea mfano Rayvanny na Harmonize.
Baada ya comment hiyo alikuja meneja wa Diamondplatnumz sallam_sk na kumtolea povu Majani kwa kueleza pia Majani alivyowanyonya wasanii na kudai kuwa anaishia kuwapiga hao wasanii.