Nakumbuka baada ya Irene uwoya kutolewa kwenye Gazeti la shigongo wakat alipofumwa hotelin wakifanya mambo yao na Diamond, ndipo bidada alipoanza kumtishia kuwa anajua uchafu wote wa shigongo na soon atauanika, hata hivyo hakufanya hivyo, kama alivyoahid, hivyo basi #Team Gossipcopwarumi imeingia mzigoni na kuzinyaka siri nzito na za kutisha , kaeni mkao wa kula soon mtapata mautamu ya mtumishi huyu wa mungu ambaye ameanzisha operation yake ya kufichua maovu , hivyo sisi tunaendeleza libeneke
Coming Soon...
Nakumbuka baada ya
Irene uwoya kutolewa kwenye Gazeti la shigongo wakat alipofumwa hotelin
wakifanya mambo yao na Diamond, ndipo bidada alipoanza kumtishia kuwa
anajua uchafu wote wa shigongo na soon atauanika, hata hivyo hakufanya
hivyo, kama alivyoahid, hivyo basi
#Team
Gossipcopwarumi imeingia mzigoni na
kuzinyaka siri nzito na za kutisha , kaeni mkao wa kula soon mtapata
mautamu ya mtumishi huyu wa mungu ambaye ameanzisha operation yake ya
kufichua maovu , hivyo sisi tunaendeleza libeneke
Coming Soon...
Shigongo ni mchafu sana na asiestahili heshima anayoipata kutoka kwa jamii isiyomjua.
Mkikusanya data zenu kuhusiana na mtu huyu, nitafuteni niongezee mawili matatu machafu ya huyu jamaa anaejifanya mtakatifu na mtumishi wa dini. Hamtaamini
dah! Nimesoma post yako jinsi ulivyozungumza kikatili, nikachungulia na hilo jina, hatari tupu!
aiseeeeeeeee mimi siijui hii dina hebu nidadavulie
Shigongo ni mchafu sana na asiestahili heshima anayoipata kutoka kwa jamii isiyomjua.
Mkikusanya data zenu kuhusiana na mtu huyu, nitafuteni niongezee mawili matatu machafu ya huyu jamaa anaejifanya mtakatifu na mtumishi wa dini. Hamtaamini
aiseeeeeeeee mimi siijui hii dina hebu nidadavulie
Shigongo ni mchafu sana na asiestahili heshima anayoipata kutoka kwa jamii isiyomjua.
Mkikusanya data zenu kuhusiana na mtu huyu, nitafuteni niongezee mawili matatu machafu ya huyu jamaa anaejifanya mtakatifu na mtumishi wa dini. Hamtaamini