Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,375
Hakuna aliyefanikiwa
bila umafia kidogo....Mengi aliyoyafanya ama anayofanya ni ya kawaida
sana japo nasikia alishawah kumfanya kitu mbaya sana jamaa aliyetoka na
mkewe...me muoga naogopa...
Uchi wa binadamu yeyote , kajisemea team ukweli
Kudos! mkuu there you are!
jamaa ni mtesi wa binaadam inasikitisha sana kumsikia eti mtumishi wa
mungu. Mi nafikiri ingefaa tumfungulie uzi mpya kabisa just special for
his black activities behind the scene so that the public can know who
really Shigongo is. besides
Sijakusoma mkuu
S na A, initials za
jamaa ambae yuko kwenye tasnia ya habari, wamefika nae wapi? In terms of
kutifuana kinyesi! Nikiongezea kidogo, kila mtu atamjua!
Dawa ya mchawi ni kumwagia matendo yake hadharani aumbuke, hata mie nlishangaa uwoya na domo wapi na wapi ila kwel lazma ilikua setup y gpl
Chineeeekeh!S na A, initials za jamaa ambae yuko kwenye tasnia ya habari, wamefika nae wapi? In terms of kutifuana kinyesi! Nikiongezea kidogo, kila mtu atamjua!
Ongezea bhana
Nimekuja binamu kuna mtu alikuita kule kwenye ubuyu juzi ulienda?
Dah yaan Jana nilipata updates zaid ya ishirin, kuna watu walini tag sema Sijui ni wapi , nikipata update zaid ya moja nashindwa kujua Uzi gani,ni wapi uko nikawakilishe binamu