Bifu la Shigongo na Irene Uwoya

Wapii binamu nipe habari fungukaaa team zipii we sie mpaka tumejadiliwa U turn mchezooo

Hii ni homa ya jiji, kuna watu watu flan , nadhan wameingia kwa account nyingine, naona tu wanapitia thread zangu mbali mbal na kuporomosha mvua ya mawe
 
Hii ni homa ya jiji, kuna watu watu flan , nadhan wameingia kwa account nyingine, naona tu wanapitia thread zangu mbali mbal na kuporomosha mvua ya mawe

Ndio Ujue JF baba laooo,we niitee tuwaswekee rumandeee waje vizuriii
 
Wale wachawi misukulee part 2

Wakina nani haoo? Ebu nitajie majina yao niwape dozi ya kuifungia gossipcopwarumi nirud kule kwa warumi ?? Natak nikafe nao , haiwezekan waingie kweny himay yet then watushinde
 
Last edited by a moderator:
Wakina nani haoo? Ebu nitajie majina yao niwape dozi ya kuifungia gossipcopwarumi nirud kule kwa warumi ?? Natak nikafe nao , haiwezekan waingie kweny himay yet then watushinde

Mbwembwe tu bina natamani tufungue blog tukeshe na michamboo nna matusi laki yote mapyaa yananiwashaa bina
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…