Bifu la Shigongo na meneja wa WCB

Bifu la Shigongo na meneja wa WCB

Kweli kabisa mkuu. Nayapitia haya ya wasiopenda wenzao wawe na mafanikio furaha
Ni baadhi ya Watanzania ndiyo wenye roho mbaya kuona Mtanzania mwenzao kafanikiwa kimaisha. Wapo wengi wanafurahi tena wanaweza hata kukupa pongezi kwa mafanikio yako. Cheza nao mbali kabisa wale wenye roho za korosho (ntima nyongo) ukishawajua.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
As usually naona jina la Ali kiba linatajwa kwenye thread hii isiyomuhusu why this,always??
 
Aah ka jiwe kamenipata,si mnasemaga ni mpinzani wa dai. Ikitajwa ccm na chadema lazima itajwe
As usually naona jina la Ali kiba linatajwa kwenye thread hii isiyomuhusu why this,always??
 
Mtu akitaka kukutumia daraja lazima akudhofishe kwanza.Mpaka anafikia kwenye mtandao alijitahidi sana kufanikisha lengo lake lakini likashindikana ndo maana kaamukuja kulilia aonekane ni mtu anayependa maendeleo yake.
 
BOSI KAMGANDA DANGOTE KAISAHAU TIP TOP MANZESEEEEE KOTE WIGGLE WIGGLE.
 
Alikiba ana kipaji na pia ana meneja walioenda shule je yupo mbali kimaisha?anamiliki nyumba ngapi?

Meneja wa kwanza wa dai alikua bob juniour kisha akaja kwa babutale na salaam waliomfikisha hapo alipo. Je mlitaka abaki kwa bob juniour au aende kwa meneja gani?

Watanzania bana ukiwa na hela linawakereketa kweli ukifulia wanafurahi na sherehe wanaandaa.
Dah....niombe radhi ndg yng co watanzania wote wenye roho km hzo!
 
Nyie ma mods mmenipa Ban mwaka mzima, mungu anawaona, mxiee nyie
 
Nyie ma mods mmenipa Ban mwaka mzima, mungu anawaona, mxiee nyie

hah hah aha naskiaga ban tu na mimi natamani wanipige

kuna siku member mmoja alinitukana sasa mimi nikaanza kumshushia matusi kuanzia yeye na ukoo wake. nilijua nitapigwa ban ila bado nasurvive.

pole ndugu yangu
 
Back
Top Bottom