mwandishi atakua wa wcb....issue ni kwamba wcb washajiona kina 50cent kwamba they dont need any media...kwamba wakitoa nyimbo zao youtube inatosha yani wewe ndo ufanye wanachotaka...hahahah sasa wamechacha wanafanya interview na radio ndogondogo imebidi wakampigie goti dj ndo yakaisha....yule mwarabu anawapeleka chaka sana....kiburi si kitu kizuri, waswahili wanasema maskini akipata matako hulia mbwata...manake ndio hii...diamond alitolewa na hizo media ambazo leo anazionya nnya....imefikia hatua hadi wasanii wao wadogo wanavimbia media...??