sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Hatimaye sasa wcb na efm wanafanya kazi pamoja ili kuupeleka muziki wetu kimataifa. Leo alikaribishwa msanii wa wcb baada ya muda mrefu ili kufanya interview.
Wale wanafki wanaoendelea kubana muda utawaumbua kama ulivyowaumbua eatv & eastafrica radio.