joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mkuu umeandika maneno mengi lakini hujaonesha kosa lake labda utuwekee video tuweze jinsi alivyo fanya makosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeandika maneno mengi lakini hujaonesha kosa lake labda utuwekee video tuweze jinsi alivyo fanya makosa
huna kavideo tuone alivyo kuwa anongea? nani alikosea na kwanini Anitha aliomba radhi ikiwa watanzania wote wanasema Zari ndio alikosea?
Nimeshindwa kukatoa huko nilipokaona ila ilianza baada ya Zari kuitwa mbele akiwa kama Jaji awataje top five halafu mshindi lkn inaonekana Zari hakuwa anataka kufanya hyo kazi lkn watu wakamsihi aendelee tu lkn katika hali ya ajabu akaanza kujiongelesha tuuuu yy ni bosslady blaa blaa nyingi , ndio baadae Anitha akaomba msamaha alipofika kutaja mshindi akampa Anitha karatas asome, Anitha na yy hakuwa anataka kusoma baadae kakubali kakamtaja mshindi, nadhani wana bifu walehuna kavideo tuone alivyo kuwa anongea? nani alikosea na kwanini Anitha aliomba radhi ikiwa watanzania wote wanasema Zari ndio alikosea?
peleka hizi habari kwenye majukwa husika acha kuwa mjinaga.... halafu si kila mtu ana hitaji kujua hizo habari a uchaguziUchaguzi Wa Serikali Ya Mitaa Unakaribia
Tuchague Viongozi Bora
Yaa nadhani baadae watasema kila mtu ni kwann ilikuwa hivyoBora fabiola mic yake ilichukuliwa
Angeweza kwenda kumuambia sikioni.. ila nae alipandwa sijui kupata kiki..
Eeeeh kituko.. lazima waeleze kilichojiri
Yaa usemayo ni kweli mara nyingi wanawake tunafeli sana , unaweza kuona kitu kidogo lkn yeye akakikuzaaaaNyie wanawake hamnaga small issue,huwezi jua nyuma ya pazia.
Nimependa jinsi Fabiola alivyokua calmed, alimuita mama sio in disrespectfull way, alimuita 'Mama' kwa heshima,
Zari alikua judge na Fabiola alikua Host ikawaje sasa akaingilia jukumu la mwenzie?
This 'mama' has issues kwa kweli.
Aah aah aah! anataka aitwe binti wakati ana watoto watano km kuitwa mama anapanic kiasi hicho je angeitwa mzee si angeuwa mtu?Nimependa jinsi Fabiola alivyokua calmed, alimuita mama sio in disrespectfull way, alimuita 'Mama' kwa heshima,
Zari alikua judge na Fabiola alikua Host ikawaje sasa akaingilia jukumu la mwenzie?
This 'mama' has issues kwa kweli.
This pic explain it all the yesterday's drama.The thing is, Fabiola used to call Zari the granny, ndio maana ata Jana alivyoitwa mama though it wasn’t bad ila Zari she knows better , she couldn’t just react like that for nothing , anitha alikua wnamchota akili
Alifanya nini au aliongea nini mbona husemi??Sijui yaliyotokea kati Yao , sijui wana matatizo gani ila kitendo cha Zari kujaribu kum attack anitha ndicho kilichoonekana in public of which is not good kama wana mambo Yao huko nyuma they should try to solve them privately , for what I saw ata kama Zari alikosewa kwa alichokifanya in public obvious yeye ndo ataonekana mbaya, you don’t do that kwenye event kubwa kama ile especially ukiwa invited as a judge, you don’t misbehave like what Zari did, it’s a big no, hakuna cha maelezo binamu , Zari wasn’t fair and matured on yesterday’s issue , period
Hivi na wewe upo?Hivi na hizo kucha ndefu, maungo yake ya siri anasafishaje....
Kikikiki ukitaka urushiwe chupa na Zari umuite 'Granny'Aah aah aah! anataka aitwe binti wakati ana watoto watano km kuitwa mama anapanic kiasi hicho je angeitwa mzee si angeuwa mtu?
Loh sijaelewa kituNimeshindwa kukatoa huko nilipokaona ila ilianza baada ya Zari kuitwa mbele akiwa kama Jaji awataje top five halafu mshindi lkn inaonekana Zari hakuwa anataka kufanya hyo kazi lkn watu wakamsihi aendelee tu lkn katika hali ya ajabu akaanza kujiongelesha tuuuu yy ni bosslady blaa blaa nyingi , ndio baadae Anitha akaomba msamaha alipofika kutaja mshindi akampa Anitha karatas asome, Anitha na yy hakuwa anataka kusoma baadae kakubali kakamtaja mshindi, nadhani wana bifu wale
Hivi na hizo kucha ndefu, maungo yake ya siri anasafishaje....
Ongeza na hiyo chini.Inawezekana ikawa "macho yanacheka moyo,unauma............."Inawezekana bado bi mkubwa anamkumbuka Mondi.Hapo unaweza kukuta hata huyo Anitha Mondi kishapita maana jamaa zipu mbovu,hapigiwi anacheza,pakavu anateleza.This pic explain it all the yesterday's drama.View attachment 1164332