Bifu lazidi kupamba moto: Baby madaha amchana tena diamond baada ya diamond kumdiss

Bifu lazidi kupamba moto: Baby madaha amchana tena diamond baada ya diamond kumdiss

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Baada ya mwanamuziki wa kizazi kipya kufunguka na kuamua kumdiss mwanadada baby Madaha a.k.a The Bad Gul kuwa hawalingani hivyo hana muda muda wa kuwa na beef na mrembo huyu wa filamu na muziki bongo, hatimaye tumeweza kumpata baby Madaha na kufanya naye EXCLUSIVE interview na mwanadada huyu kuhusu hayo mazito aliyoyasema bwana platnumz. Na kwakuwa mwaka huu ni mwaka wa kufunguka bila kuficha chochote binti huyu aliamua kuanika yake ya moyoni kama yanavyosomeka hapo chini….
Baby alianza kwa kusema


“….Kwanza nitafute keeck kwa diamond kwa lipi,wakati anakuja kuniomba kuperfome 2010 akiwa ana single moja ya mbagala pale maisha plus mimi nikiwa judge na kina masoud,tayari nishafanya album ya amore india na nishapiga show kibao,wakati yeye akifikiria amkamate demu gani ili a hit kimuziki mimi tayari nishafanya movie tatu na moja imeshinda ziff tz na ziff berlin,akiendelea kuwapanda kama farasi hao wajinga wajinga wenzie mie tayari nina tuzo tatu ziff ambazo hata marehemu kanumba angefurahi kupata japo moja(rip)….”


“…..Wakati sasa anaongea blah blah akiwa na single yake moja mpya akihangaika kwenda nigeria kuonyesha skin tight yake ya mistari na kuomba omba collarbo, mi tayari nina single tatu hit na najiandaa kushusha movie kali mpya,tatizo ni kutotaka kukosolewa na kujiona mungu mtu kwenye muziki lakini ukweli anaujua na hata yeye anauogopa kama anabisha afanye nao collarbo anahangaika nini na wote wanaimba bongo flava??upuuzi na ujanja ujanja tu wa mjini unafanyika huku wale punda wake wakikubali kumbeba kwa malipo gani umaarufu???mi sijautafuta kwa nguvu hiyo, nimepikwa bss na watu wakaniona na wakanitambua.kama ni suala la pesa hata asiongee launching yangu ya (kempinsky)hyatt regency 2010 hakuna msanii yeyote wa bongo flava including na yeye ameweza kufanya jeuri hiyo,aliyejaribun labda yule demu wake wa zamani aliyemshit pia kwa vihela vyake mbuzi…”


“….Akiwa bado anastruggle kupata mkwanja awatishe tishe watoto wenzake wa tandale..mimi nishazindua brandy yangu ya manukato na gift bagz zangu ambazo zinaingia sokoni rasmi 31 december…bado anachanja na prado old model,asogee kwenye audi tt yangu apunge upepo yani ye anatafutaa..mi nishapata so wa nini???wanaompapatikia ni wale drama queens wenzie, mi ama bad gul sijali kama kumchana namchana tu so wat??,scandal kitu gani?ye sukari guru ata survive si tandale bwana eeh, vipi wale kwenye list za kubadilishwa kama nguo za ndani je watapata wa kuwaoa???/… wakija forbes hapa watu wataumbuka ooh na hekalu langu kuubwa unakaaje kwenye nyumba ya kupanga?haliishi??hahahaha na kuhusu ati mimi nimesema ana paja la mtoto wapi na wapi he is not ma type at all si hook na little mama’s boy na hook up na big boys tu…”


“…. Mi sio wale farasi zake wanaopokezana kupandwa na yeye after role kuambiwa ukweli sio bif kweli mzinzi na hajui kuimba kama sio kweli atulie tu asipande pande hapo tutamwona mfalme kweli kama mzee yussuf,mimi naimba aina yangu ya muziki tanzania nzima nipo peke yangu hakuna demu anapiga riddim,ragga sasa natafutaje keeck kwa bongo flava????anaeimba nyimbo zake za kipuuzi kutaja taja farasi wake ana (tusi kali sana) angekuwa ameni***** sawa but mpaka anakufa i think atakuwa ananiota mimi na lulu……….kama mbwai mbwai mjini hapa kila nyumba ina namba..adios…”
Hatuna la kuongezea hapo, kazi yetu ni kuwajulisha kinachotokea tu mjini hapa.
Source:Bongomovies
 
Duh hatari,ila ki ukweli huyu demu kimuziki yupo vzuri and she is smart as well,muziki wake ni classic,ila ndo she is not marketable like diamond,ila now she is under a good management,ni kati ya wasaniii wachache wenye bahati bongo,na ndiye msanii pekee anayesukuma audi
 
Duh hatari,ila ki ukweli huyu demu kimuziki yupo vzuri and she is smart as well,muziki wake ni classic,ila ndo she is not marketable like diamond,ila now she is under a good management,ni kati ya wasaniii wachache wenye bahati bongo,na ndiye msanii pekee anayesukuma audi

kimenuka....
 
Baby madaha ndio nani wapendwa?
 
Baby madaha ndio nani wapendwa?

Hata mimi simfahamu.Na sijui wimbo wake hata mmoja wala sijui movie aliyocheza hata moja. Lakini leo nitatafuta kazi zake. Promo yake imefanya kazi.
 
Hata mimi simfahamu.Na sijui wimbo wake hata mmoja wala sijui movie aliyocheza hata moja. Lakini leo nitatafuta kazi zake. Promo yake imefanya kazi.

Ashakuwa hadi judge wa Maisha plus single yake ya nwanzo iliitwa Amore
 
Hata mimi simfahamu.Na sijui wimbo wake hata mmoja wala sijui movie aliyocheza hata moja. Lakini leo nitatafuta kazi zake. Promo yake imefanya kazi.

Lakin Platnum unamjuaaee
 
kimenuka....

Kwa nin anamlalamikia Diamond kuna nin kimejificha moyoni mwake,mbona hata yeye hupandwa kama farasi tu na kina Nature, binadamu tunajua kusema mabaya ya wenzetu,akubali or akatae kwamba platnum haimbi vizuri lakin Platnum ndio habari ya mjin,yaan kwenye ukweli uongo hujitenga mambo ya mademu hayamuhusu,tena mi namuomba Platnum amkune tu naona halalii kisa platnum,lolllll
 
Heeeheeee....haya yetu macho...

Badala akazane na yake platnum hamtoki kinywani,mi naamin mtu ukiwa unamzungumzia sana mtu ambae hakuhusu jua huyo mtu anaumiaa,dawa hua ni kunyamazaaaa
 
Duh hatari,ila ki ukweli huyu demu kimuziki yupo vzuri and she is smart as well,muziki wake ni classic,ila ndo she is not marketable like diamond,ila now she is under a good management,ni kati ya wasaniii wachache wenye bahati bongo,na ndiye msanii pekee anayesukuma audi

Ameimba nyimbo gani mkuu, mbona kama sijawahi kumsikia vilee
 
Huyo madaha nae asijishaue..watu kibao hawajamjua bado.hzo nyimbo anazojitapa nazo ndo zile alikuwa anaimba kihindi???ashukuru hao candy n candy sijui kwa kumnusuru ATLEAST na yeye anaonekana yumo sahv
 
Huyo madaha nae asijishaue..watu kibao hawajamjua bado.hzo nyimbo anazojitapa nazo ndo zile alikuwa anaimba kihindi???ashukuru hao candy n candy sijui kwa kumnusuru ATLEAST na yeye anaonekana yumo sahv

Umeona ee wengi hawamjui lakin platnum hadi watoto,wazee,kina dada ndio usiseme sasa,kina mama,mim karibu nyimbo zote hadi za zamani nazijua lakin za huyu Baby wetu mi najua nyimbo zake mbili tu hasa ya amore basi
 
Badala akazane na yake platnum hamtoki kinywani,mi naamin mtu ukiwa unamzungumzia sana mtu ambae hakuhusu jua huyo mtu anaumiaa,dawa hua ni kunyamazaaaa

Superstars wa BongoLand........teh....
 
"….Kwanza nitafute keeck kwa diamond kwa lipi,wakati anakuja kuniomba kuperfome 2010akiwa ana single moja ya mbagala pale maisha plus mimi nikiwa judge na kina masoud,tayari nishafanya album ya amore india na nishapiga show kibao,wakati yeye akifikiria amkamate demu gani ili a hit kimuziki mimi tayari nishafanya movie tatu na moja imeshinda ziff tz na ziff berlin,akiendelea kuwapanda kama farasi hao wajinga wajinga wenzie mie tayari nina tuzo tatu ziff ambazo hata marehemu kanumba angefurahi kupata japo moja(rip)…."
Kwani Mbagala na Nenda Kamwambie ni ipi ilianza kutoka?! Kumbukumbu zangu zinaniambia ya kwanza ni Nenda Kamwambie, so how come tena wakati inatoka Mbagala alikuwa na single moja?!
 
Kwani Mbagala na Nenda Kamwambie ni ipi ilianza kutoka?! Kumbukumbu zangu zinaniambia ya kwanza ni Nenda Kamwambie, so how come tena wakati inatoka Mbagala alikuwa na single moja?!

ya kwanza ni mbagala kisha iliyofata nenda kamwambie
 
Anayosema baby madaha kina ukweli kiasi fulani. Nimependa alipomchana kuhusu ile skin tight yake ya Nigeria. Alitia aibu aisee
 
Back
Top Bottom