Bifu lazidi kupamba moto: Baby madaha amchana tena diamond baada ya diamond kumdiss

Bifu lazidi kupamba moto: Baby madaha amchana tena diamond baada ya diamond kumdiss

ya kwanza ni mbagala kisha iliyofata nenda kamwambie
Are you sure? Kuna kitu kimoja binafsi nakikumbuka kuhusu Diamond. Enzi hizo nilikuwa mfuasi wa magazeti pendwa (maarufu kama ya udaku). Nakumbuka mara ya kwanza niliona jina lake humo; but niliishia kusema "who's the hell is Diamond!" Nakumbuka enzi hizo, nilikuwa nikiiona tu Nenda Kamwambie kwenye TV, nilikuwa nabadilisha station. Nikaja kuona tena jina lake tena na tena; mara cku moja Nenda Kamwambie ikapigwa Ch5. Nikaamua kuisikiliza/kuitazama! Hapo hapo nikaipenda ile nyimbo!

Siku naiona Mbagala kwa siku ya kwanza kabisa; nilikuwa tayari nimeshafahamu who's Diamond.
 
huyu binti hana lolote zaidi ya wivu na majungu,ana maovu kibao.mbona alifanywa na mzee(nature) c tunajua tumetulia.mbona alilewa india akabakwa club na watu 4,c tunayomoyon.ama kwa kuwa haikuvuja??,hata ufanye nn huwez kuwa kama diamond iwe kwa umaarufu ama kwa pesa.kwanza hujulikan zaidi ya dar.huna lolote dada n mapovu tu ya kawaida yanakutoka pamoja na stress za maisha na miunga na mipombe unayonunuliwa kila siku.


mwisho nikukumbushe mama yako anaishi maisha magumu kule mwanza we tanua tu.nackia hata cm yake unapokea kwa machale.kumbuka kwenu
 
Are you sure? Kuna kitu kimoja binafsi nakikumbuka kuhusu Diamond. Enzi hizo nilikuwa mfuasi wa magazeti pendwa (maarufu kama ya udaku). Nakumbuka mara ya kwanza niliona jina lake humo; but niliishia kusema "who's the hell is Diamond!" Nakumbuka enzi hizo, nilikuwa nikiiona tu Nenda Kamwambie kwenye TV, nilikuwa nabadilisha station. Nikaja kuona tena jina lake tena na tena; mara cku moja Nenda Kamwambie ikapigwa Ch5. Nikaamua kuisikiliza/kuitazama! Hapo hapo nikaipenda ile nyimbo!

Siku naiona Mbagala kwa siku ya kwanza kabisa; nilikuwa tayari nimeshafahamu who's Diamond.

niko sure mbagala ndio ilianza na ndio iliyomtoa wewe ulichelewa kuiona.
 
niko sure mbagala ndio ilianza na ndio iliyomtoa wewe ulichelewa kuiona.

Kaka usibishe...mi ni mdau wa music aina zote(kasoro taarab na likes of it)
Nenda kamwambie ilikuwa ni single ya kwanza ya Diamond kuwa aired...nakumbuka....mjukuu wa Ambua alisaidia sana kuipromote ikawa requested sana akiwa under bob junior then Mbagala(my favorite)na nyinginezo zikafuatia.......
 
Kaka usibishe...mi ni mdau wa music aina zote(kasoro taarab na likes of it)
Nenda kamwambie ilikuwa ni single ya kwanza ya Diamond kuwa aired...nakumbuka....mjukuu wa Ambua alisaidia sana kuipromote ikawa requested sana akiwa under bob junior then Mbagala(my favorite)na nyinginezo zikafuatia.......
Nadhani Money Stunna ka-miss somewhere.
 
Last edited by a moderator:
Kaka usibishe...mi ni mdau wa music aina zote(kasoro taarab na likes of it)
Nenda kamwambie ilikuwa ni single ya kwanza ya Diamond kuwa aired...nakumbuka....mjukuu wa Ambua alisaidia sana kuipromote ikawa requested sana akiwa under bob junior then Mbagala(my favorite)na nyinginezo zikafuatia.......


Yap ni kweli nenda kamwambie ilianza na ilimtoa pia,ikafata Mbagala ndio akatoka kabisa
 
Yap ni kweli nenda kamwambie ilianza na ilimtoa pia,ikafata Mbagala ndio akatoka kabisa

Sijui mengine kuhusu madai ya Baby Madaha lakini mi naimani sauti yake nayo imechangia sana....kipaji huwa hakifichiki...hata kama ameboost somehow and somewhere..ni yeye....Baby ajipange tu....
 
Mi si mpenda majungu,ila nadhani mafanikio ya mtu utayaona tu kwa kazi zake,the more fans u have the more success u get..huwezi pata shows nyingi sehemu mbali mbali kama si watu wamekubali kazi zako..the more shows,more money..diamond has that..madaha yuko chini ya management..technically she is under contract,so she is working for someone..but diamond has his own management..kwa taarifa zilizopo the car she is proud of ni mali ya kampuni means if she is out of the campany,she doesn't have the car..all in all fanyeni kazi acheni majungu btn each other.
 
Kwani Mbagala na Nenda Kamwambie ni ipi ilianza kutoka?! Kumbukumbu zangu zinaniambia ya kwanza ni Nenda Kamwambie, so how come tena wakati inatoka Mbagala alikuwa na single moja?!

Sema ww ndugu yangu,hata mi najua nenda kamwambie ndo ilitangulia....sasa huyu beibe madaha inawezekana anachanganya mafile
 
Umeona ee wengi hawamjui lakin platnum hadi watoto,wazee,kina dada ndio usiseme sasa,kina mama,mim karibu nyimbo zote hadi za zamani nazijua lakin za huyu Baby wetu mi najua nyimbo zake mbili tu hasa ya amore basi

Yani kuwa na gari na nyumba(vya kampuni) ndo kajiona kawa staaaaaar....lakini jina lake nalo linachangia ye kuwa na majigambo ya kijinga
 
Asijishau huyu anatfta tu attention ya diamond amgegede,af aache kumkandia diamond ukwel ni kwamba almasi yupo juu kwn kuatngulia ndo kufika?,watanzania kiukwel hawamjui me inclusive na family yangu,uliza kila nyumba saiv btn baby na diamond wanamjua nan af mtupe mrejesho
 
Ashakuwa hadi judge wa Maisha plus single yake ya nwanzo iliitwa Amore

Aaaaaaaaaaaaaaaanhaaaaa......kumbe ndiye huyu aliyeimba Amore....duh alianza vizuri kama sio kuhamia kwenye gospel saa hizi angekuwa mbali kwenye bongo fleva.
 
Sema sasa huyu Almasi alivyo.....muda si mrefu kina shigongo watatuletea za chini ya kapeti........Diamond na baby madaha wakutwa wakitokea hotel room....wajitetea wasema walikuwa wanasuluhisha tofauti zao.
 
Sema sasa huyu Almasi alivyo.....muda si mrefu kina shigongo watatuletea za chini ya kapeti........Diamond na baby madaha wakutwa wakitokea hotel room....wajitetea wasema walikuwa wanasuluhisha tofauti zao.

Wagongane mara ngapi
 
Huyo madaha nae asijishaue..watu kibao hawajamjua bado.hzo nyimbo anazojitapa nazo ndo zile alikuwa anaimba kihindi???ashukuru hao candy n candy sijui kwa kumnusuru ATLEAST na yeye anaonekana yumo sahv

Acha shobo wewe nani anakujua??? Ama unatafuta kiki??
 
Back
Top Bottom