Nikirejea historia za haya mabifu mi naona kama zinawasaidia. Hebu tuangalie kidogo: Nasma kidogo na Khadija Kopa jinsi walivyojaza kumbi mashabiki, Banza Stone akiwa TOT na Ally Choki akiwa Twanga unakumbuka walivyonyanyasa muziki wa dansi?
Vipi kuhusu East Coast Team na TMK walivyouza kwa timu zao. Haya tujikumbushe Sikinde chini ya Dede na Msondo ya Moshi na Gurumo unakumbuka walivyobamba? Na hata ukija kwenye timu za mpira Yanga na Simba wanajaza uwanja sababu ni huo upinzani wao.
Kiba na Mondi wanaomba dua usiku na mchana huo upinzani wao uendelee ili njia ya chooni isiote nyasi. Mimi hao nimewakumbuka ongezea na wewe. Kwa kweli timu na bifu zinalipa kwa wahusika ila kwa wapembeni ni maumivu tu!
Vipi kuhusu East Coast Team na TMK walivyouza kwa timu zao. Haya tujikumbushe Sikinde chini ya Dede na Msondo ya Moshi na Gurumo unakumbuka walivyobamba? Na hata ukija kwenye timu za mpira Yanga na Simba wanajaza uwanja sababu ni huo upinzani wao.
Kiba na Mondi wanaomba dua usiku na mchana huo upinzani wao uendelee ili njia ya chooni isiote nyasi. Mimi hao nimewakumbuka ongezea na wewe. Kwa kweli timu na bifu zinalipa kwa wahusika ila kwa wapembeni ni maumivu tu!