Bifu ya Fid Q na Joh Makini

Kimbia ukweli kisa haukuhusu.... Maendeleo kupiga show TEGETA... Nshamalizana na ww.
NavyKenza"Vanessa Mdee wanamafanikio sana washawah piga show ulaya?
Acha utumwa ww Fid Zamani tu hamna kitu yule ameshindwa kwenda na mabadiliko...

Ndio maana aliitwa Underground kwenye show ya Wizkid mwaka jana na alikubali maana akasema kweli sijulikani inabidi nifanye kazi kujitangaza...Legend unaitwa underground hahaaa
Kimbia ukweli kisa haukuhusu.... Maendeleo kupiga show TEGETA... Nshamalizana na ww.
 
Joh anafanya biashara na mawingu ukijumlisha na presenter wengi wa vipindi vya mchana wanatoka chuga so joh anapata sana airtime ila km ni hip hop joh hata kwa jay moe hafati

na huko nje anakobamba, nako kuna watu wa arachuga. lazma tujue kila kipindi kina mvumo wake.
joh kwa sasa yuko vizuri. fid anabakia na heshima tu kama mbunge wetu prof jay.
 
na huko nje anakobamba, nako kuna watu wa arachuga. lazma tujue kila kipindi kina mvumo wake.
joh kwa sasa yuko vizuri. fid anabakia na heshima tu kama mbunge wetu prof jay.
Joh makini yupo vizuri kwny nn zaidi ya kupewa promo ila anachoandika hamna kitu
 
Mara nyingi wasanii wetu wenye vipaji vinavyoshabihiana huwa hawana bifu. Mashabiki wa aina yako pamoja na media kubwa mjini wanachochea kwa nguvu zote bifu baina yao...

Inafika wakati mmoja wao akikosa busara anaongea maneno yanayogusa upande wa pili, hapo bifu inasajiliwa rasmi

Kwa nini msiwachochee hawa kushirikiana na kufikia peak pamoja?

Watanzania tuna shida sana!
 
 
Kwa hiyo wizkid ndo anatembea na list ya ma legend na underground... yy mwenyewe bado underground tuu... Rukaruka,lia, kimbia bt fareed will remain the best hiphop artist EAST AFRICA.
 
Hivi vigezo haviwezi kutupatia mbora kati yao....
Nijuavyo mimi....
Umri-Fid Q
Finances- Joh
Education-Fid Q
Exposure-Both...
Haya sasa niaambie who deserve to stay on top?
Kwani Fid Q na Joh elimu zao zimekaaje!?
 
BT kiukweli sion bifu yoyote na mashabiki tusiwachonganishe hawa ma legend wetu wa hip hip kila mmoja anaheshima yake. tusiotoe u team kiba vs udiomond kwenda u joh vs u fid. bt kiuhalisia hawawez kuwa juu wote kwa wakti mmoja..
 
Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....
Na huyo Fid marioo anayelelewa na wanawake je?
Hili jambo huwa sipendi kulisema kwa heshima ya Fid ila mapopoma kama nyie ndio mnasababisha niseme.
acha wivu bweg ww
 
usini treat kama second class utakuwa unafanya first class mistake- moja kati ya mstari kwenye wimbo wake wa I am profesional by fid Q.
Ukiangalia kwa maana halisi ya hip hop-hakuna kama Fid Q Tanzania
 
Samaa X huniita Fid Q the future
machache niliyoyapitia kuna mengi nimejifunza, I am a professional
ruksa kunitoa ushamba kwa kile nisicho kijua
ntakuwa mjinga kwa sekunde kisha, I am a professional
nguvu ya elimu ina umuhimu pale elimu ikitumika
nalipwa kwa vyote ambavyo huvijui, I am a professional
muda mwingi niko sober kazi na sala kama mkoba
naamini Mungu ni mmoja ndo maana, I am a professional
tena im so grateful thankful, ili nipate mema natumia ufahamu, I am a professional
wanaongea walichosikia mi nasema nnachojua na sio ugly flow iko handsome, I am a professional
so usinitreat kama second class person utakuwa umefanya first class mistake hey, I am a professional
and im the best looking kama linen nikiwa mwendo kama Duke ukiwa kwenye mashine ah, I am a professional
HipHop ni vile unavyoishi rap ni kile unachofanya sikio la kufa zibuka usikie hizi dawa, I am a professional
katikati ya jana na kesho hapo ndipo kuna muda
kazi madeni kuzidi malipo mwiko mimi ni professional!

Fid anaandika aisee, tuacheni masihara. Binafsi sijawahi na sitowahi kumlinganisha fid na joh makini. Fid sio mtu mzuri
 
(Verse 2):Fid Q ft nature- siri ya mchezo
Tofauti ya BIASHARA na SIASA ikila hasara inaweza buma
wakati SIASA kila mara ukiwa unang’ara ujue kuna
kinara anayeunda msafara wa wanaojituma na
kuchuma kwa kukufanya uwe imara hapo hasara hakuna
KIDUMU CHAMA CHA MASELA…
Ukoloni mambo leo umetupa uhuru wa bendera
tuone kufuru za wenye hela
TANZANIA ni ‘ demu wa mtungo ‘ wanamuiita CHA WOOTE’’
HANGOVER .. ‘’anaikimbia kwa kupiga ‘ “ mtungi “ saa zote
Mkubwa anazuga atasolve… matatizo ya nchi yake
‘’na gari bovu..’’ halisukumwi kwa kukaa ndani yake
MAENDELEO ni ile ndoto..MWEZEKAJI ashaipuuza
je Kukaa karibu na moto ni kuuota au kujiunguza
hakuna UHURU wa kweli (Africa) msidanganywe na illusion
na daily tunafeli sababu ya POLITICAL institutions
CIVILIZATION imeadvance sasa wanatuua economically
hakuna utumwa mbaya kama ule wa kujiona uko free
Kuusaka ukweli ni sawa na kumenya kitunguu
kila ganda litakutoa machozi na utabaki macho juu
Ukishafika kwenye kiini niambie nini utagundua
zaidi ya mafaili yaliyounganika utaghairi kuyafunua
Wamejivisha U-NOAH.. SAFINA zao zikatoboka
Wakajivisha U-MUSSA.. FIMBO zao hazikugeuka NYOKA
sasa wanaujaribu Umungu mtu kuamua leo nani atatoka


Huyu fid ni wa kumuacha kama alivyo aisee, tusiikosee heshima hip hop kwa kumlinganisha fid na mtu kama joh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…