Bifu ya Nikki Mbishi na P the MC

Nikki mbishi anabeef na mtu yoyote tu.

By the way beef hii nimeipenda watu wanaingia studio hawaishii kusutana twitter.

Beef za biashara kwenye mkito, booomplay, you tube nk ndiyo zinatakiwa.

Hakika! Watu wanasema kama haimeki hela basi haimeki sensi! Kwa hiyo mimi pia nimeipenda sana maana wana make hela sio maneno matupu tuu.....


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kwenye hii bifu nikkimbish kachukuliwa negatively coz ndo kawaida yake japo p the mc kamnyoosha ukchanganya na huruma yamashabiki ndokabisa yaaan ongeza now nawakazi kama kajiinclude ndan hapo bifu imekolea zaid

Hatari sana nimeipenda sana hii Nikki mbishi anavyo shambuliwa kila upande hahahha jamaa ni mjuaji sana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ngoja mbishi nae atoe diss track ndipo turinganishe uzito sasa katoa p watu wanashabikia wamesahau makali ya nikk anaelewa Nay niupi moto wa mbishi

Nick si ndio alianza kutoa na wenzie wamemjibu!


Sent from my iPhone using Tapatalk
 

Nikki mbishi anachojua zaidi ni lawama na wivu kwa kila anaye mzidi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
In short Nikki kauwawa vibaya vibaya humu, sasa mkitwambia tusubiri mpaka ajibu ndio tuone ni hii diss track kali naona kama mnatuyeyusha.

Iko hivi, sasa hivi ni mbili bila, kama anaweza kujibu mapigo jukwaa lipo huru. Full stop.

Huyu p mawenge sikuwahi msikia before...kaua sana
 
Kilichomkuta MGK hata P the MC kitamkuta pia. Acha tusubiri. By the way, hii kitu iko arranged na wamefanikiwa so far!


Kaeni mjipe moyo, lakini kwenye hii bifu Nikki ashamezwa mzima mzima aisee. Ataimba nini kujibu hii ngoma? Pamoja na michano lakini stori za humo ndani ni kweli tupu.
 
Kaeni mjipe moyo, lakini kwenye hii bifu Nikki ashamezwa mzima mzima aisee. Ataimba nini kujibu hii ngoma? Pamoja na michano lakini stori za humo ndani ni kweli tupu.
mkuu, diss ni ya P the MC na anaetakiwa kujibu ni Nikki Mbishi. Kuniuliza mimi eti nikki ataimba nini ni kuleta ubishani usio wa lazima. Tusubiri nikki mwenyewe ajibu ili tulinganishe. Tofauti na hapo, tutakua tunatoa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja pekee.
 
nikki ametoa mstari mmoja, pthe ametoa ngoma nzima! sipati picha nikki akitoa ngoma itakuaje coz kwa hizi Diss track unju ndio babalao kwa bongo ila kwa alichofanya P ni unyama... time will tell
 
ila kuna baadhi ya mistari p sijamuelewa coz analeta hoja za kitoto kwa mfano hilo la kuomba picha badala ya collabo naona nikki yuko sahihi,
nikki kufanya kazi na wakina vanesa, khaliglaph na coyoo lina ukweli coz sio nikki tuh hta stereo amepiga kazi na ay, Ben pol, Victoria kiman, rich mavoko lakini bado anadrop day after day,
pia pthe mc amepiga kazi na deddy, dully sykes, jux ila bado yupo underated
 


Hatuwezi kusubiri Nikki ajibu ndio tukubali hii track kaka, mbona hatuelewani? Huu ni mwendo wa banter to banter. So far MC wenu anahemea mipira, kama anaweza aingie studio sisi tupo tunasubiri mpambano
 
Nikki hawezi. Hanaga usireous anapoandika skuiz. Huez kumfananisha nikki wa Sauti ya Jogoo/Play boy na huyu wa sasa anaimba kama teja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…