Bifu ya Nikki Mbishi na P the MC

Bifu ya Nikki Mbishi na P the MC

Ngoja nikaiskilize kwanzs.. tunataka vtu km hv.. sio ufala fala tu
 
"Uwepo wangu kwao ni bonge la crisis,mzee wa kujilipua kama mfuasi wa ISIS.”

Na kweli unju anajilipuaga sana huyu mchizi...😂😂😂baizewei hiphop ya bongo siku sio nyingi itageuka kuwa na mahadhi ya taarabu kama wanahiphop wenyewe ndo hawa kupashana daily kweny track na social media nk...

NONSENSE
itakua umezaliwa 2000 mkuu, huijui hip hop vzuri, misingi huru na historia yake
 
Nikweli mkuu huyu nikki karibia kila mtamaduni pale kaishawahi kuzinguana naye

Alishawahi kua na bifu na godzilla japo godzila naye alikua mtata kama yeye hasa katika ile bifu yake na wakazi. Miezi kadhaa iliyopita nikki alikorofishana na wakazi ila washapatana
Wala hawajapatana, juzi tu walikuwa wameanza kurushiana maneno huko "twitani".
 
Ngoja mbishi nae atoe diss track ndipo turinganishe uzito sasa katoa p watu wanashabikia wamesahau makali ya nikk anaelewa Nay niupi moto wa mbishi
 
Nakubaliana na P Mawenge!

In short Nikki Mbishi unahitaji kujipanga upya uangalie game inavokwenda na uamue nini unataka kwenye muziki.
Get serious, game haitaki shit za kipuuzi.
Upuuzi kawaimbie wavuta bange kijiweni kwako.

Haya sasa wacha uyaone. Ngoma hii apa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikki ameahidi kuingia studio huko.. sasa balaa la yule jamaa mi simooooooooooo
 
Unju atakuja Kitu moja matata sana Huyu P Mawenge atapigwa KO moja ya koromeo mpaka atapike Uji

Sent using Jamii Forums mobile app


Ngoja mbishi nae atoe diss track ndipo turinganishe uzito sasa katoa p watu wanashabikia wamesahau makali ya nikk anaelewa Nay niupi moto wa mbishi


In short Nikki kauwawa vibaya vibaya humu, sasa mkitwambia tusubiri mpaka ajibu ndio tuone ni hii diss track kali naona kama mnatuyeyusha.

Iko hivi, sasa hivi ni mbili bila, kama anaweza kujibu mapigo jukwaa lipo huru. Full stop.
 
Back
Top Bottom