Bifu zito kati ya Ajib na Yondani, washindwa kupeana mkono uwanjani....

Azam wachochez kikawaida keptain ampagi mkono mchezaj pindi anapomtambulisha kwa kiongozi
 
Uchochezi WA Azam TV ni nini
Wao ndio walimwambia Yondani asitoe mkono au walimtuma ajibu agawe mkono Kwa wachezaji wenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
Ajibu ovyo sana captain gani kila game anatolewa mpira haujaisha na kumuingiza kaseke au ngasa. Work rate yake ndogo sana japokuwa ana footwork nzuri hatafika mbali. Bila kuwa na physical na work rate kubwa hataenda mbali. Jana beki ilicheza vizuri Sana
 
Inahusianaje na Yondani kukataa mkono

Me Sitaki mipovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanachukulia poa hili Swala. Tatizo lilianzia wakati Zahera namnanga Yondani, Kwa namna ambavyo Zahera alivyo elezea swala lile ni kana kwamba yeye Kocha alikua tayari wamekwisha yamaliza na Ajib kuhusu kumpokonya Unahodha Yondani, ni kana kwamba ajib alichangia kumshawishi kocha au kumpa nguvu ya kumpokonya kitambaa yondani. Angalia hata wakati Ajib anahojiwa juu ya swala hilo ni wazi jamaa alikua na bashasha na furaha flani hivi. Tabia ya Zahera kuwananga wachezaji hadharani ni tabia flani za Wakongo, yaani hao jamaa wanapenda kuonekana wako juu kuliko hata uhalisia. Nikupe mfano mmoja, Huyo Zahera anaye jinasibu kuwapa pesa wachezaji wake, usishangae hana hata nyumba ya kuishi, hilo ni kawaida kwa Wakongo. Zahera anajiona anajua sana. Fikiria jana anawalaumu wachezaji kwamba hawajiongezi, tena analaumu hadharani ili kujikosha na kuonekana yeye hana kosa. sasa alitaka wafanyeje kama sio kufuata maelekezo ya kocha na hata kama wangejiongeza wakafanya tofauti jamaa angelaumu kuwa hawakufuata maelekezo. Kinachofanya wachezaji wa Yanga kuwa wapole ni kwakua hakuna tumaini ya kupata timu mbadala yenye hadhi kubwa kwa wakitazama huo Unyamani kumejaa sasa wanabidi kukomaa na kusubiri labda kocha afukuzwe ili amani irejee. Kama kocha anawasimanga hadharani sasa huko vyumbani si akunakutukanwa?
 
Labda masharti ya mganga. You never know.Timu Ina basi lake kubwa tu lakini ilikodi Coaster ya kubebwa wanaoanza mechi!!
Sharti lingine wasiingie uwanjani kwa utaratibu wa kawaida bali wafuate mstari wao wenyewe.
 
Ajib bado hatoshi kua captain,wampe Keseke au Kamusoko
 
Kama kuna mtu alikuwa anafuatilia Ajibu alipofanyiwa sub alimpa kitambaa cha unahodha Fey Toto ampe Yondani.Yondani alikataa na kumwelekeza ampe Ngassa.Ngassa alipokea na kukivaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…