Big, Bigger, Biggest...


A Giant Sea Squid👉Ni kati ya viumbe wakubwa wanaoishi majini anakadiriwa kuwa na uzito unaofikia tani moja

NB: The largest giant squid ever recorded by scientists was almost 43 feet (13 meters) long, and may have weighed nearly a ton.
 
Katika mizunguko huko kagera, tuliwahi kukutana na earthworm wakubwa sana!

Jamaa yetu mmoja akasema, "kama mnyoo ni mkubwa hivi, si ajabu nyoka wa maeneo haya ni anaconda."[emoji28][emoji28]

Ikabidi tutoke eneo lile maana wadau waliogopa sana.
 
Katika mizunguko huko kagera, tuliwahi kukutana na earthworm wakubwa sana!

Jamaa yetu mmoja akasema, "kama mnyoo ni mkubwa hivi, si ajabu nyoka wa maeneo haya ni anaconda."[emoji28][emoji28]

Ikabidi tutoke eneo lile maana wadau waliogopa sana.
Sema nimeipenda iyo imagination yenu😂😂😂😂 kama mnyoo yupo hivi, je nyoka atakuwaje? Sema wasi wasi ndiyo akili.
 
Afu ukute sio TV ni projector. Nitakucheka sana mkuu Ezekiel.
😂😂 Daaah hata kama nimetokea Kigoma sio kwa ushamba huo, ile tv ilibidi niisogelee kidogo kuiangalia kwa nyuma mana ndo ilikuwa mara ya kwanza kuona tv kubwa vile. Kwa ambaye aliwahi kwenda hapo aje anitetee.
 
😂😂 Daaah hata kama nimetokea Kigoma sio kwa ushamba huo, ile tv ilibidi niisogelee kidogo kuiangalia kwa nyuma mana ndo ilikuwa mara ya kwanza kuona tv kubwa vile. Kwa ambaye aliwahi kwenda hapo aje anitetee.
Hakuji Mtu Mkuu.

Kaa kwa kutulia hata foto hauna kweli?

Kushangaa gani huko?
 
[emoji23][emoji23] Daaah hata kama nimetokea Kigoma sio kwa ushamba huo, ile tv ilibidi niisogelee kidogo kuiangalia kwa nyuma mana ndo ilikuwa mara ya kwanza kuona tv kubwa vile. Kwa ambaye aliwahi kwenda hapo aje anitetee.
Ngoja nikutetee mwamba! Ni tv ile na siyo projector kama anavyokushambulia ndugu hapo juu..

Nyingine ipo pale maabara japo siyo kubwa kama ya pale mapokezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…