View attachment 1759882
Machimbo ya chumvi(Chumvini😂😂) Garmsar,Iran
Mkuu hii inakula mafuta?Wärtsilä-Sulzer RTA96-C.....Hii ni injini ya meliView attachment 1759872
huyo sio mrusi ni Ukraine haoAntonov dege la Kirusi
BJNakumbuka kuziona hizo wakati tunaelekea Baranco camp. Giant kweli kweli.
sasa hapo mafuta si ni hatari? Ukiwasha engine tu nahis 100ltr imeyeyukaWärtsilä-Sulzer RTA96-C.....Hii ni injini ya meliView attachment 1759872
Sipendi vina virefuView attachment 1759779
Afraid of heights???.... Huku sio kwa kwenda hapo ni Preikestolen, Norway
Mmmmh huyu mdudu Kuna watu wanamshikaView attachment 1759859
African Land Snail
Ambal ndio hili hapaView attachment 1760037
[emoji117]A satellite photo of Lake Victoria - Ziwa la kwanza kwa ukubwa barani Afrika ambalo linacover kilomita za mraba 69485.
[emoji117] Ziwa la pili kwa ukubwa duniani (all freshwater lake) baada ya Ziwa Superior linalopatikana North America.
[emoji117] Chanzo cha mto Nile.
Ya RUSSIAhii inaitwa Antonov An-225 ni mona kati ya ndege kubwa duniani. ni ya UkrainView attachment 1759856View attachment 1759855e
itabidi nifuge kama haoDarius, Sungura mkubwa kuliko wote duniani(England)
View attachment 1759740
Zaman nilikuwa nikiona aina yeyote ya konokono chumvi ilikuwa Ina mhusu. Hadi leo sijajua kwann ukiwamwagia chumvi wanayeyukaView attachment 1759859
African Land Snail