Tunamwomba mama atuletee mjusi wetuView attachment 1760387
[emoji117]Dinosaur Bones - yaliyopatikana Tanzania eneo la Tendaguru Kati ya mwaka 1909 na 1913 - which made it the most successful dinosaur excavation of all time.
[emoji117]Hivi sasa yupo Makumbusho ya Berlin nchini Germany.
Inasemekana msitu wa Amazon na Msitu wa Kongo ilikuwa kitu kimojaView attachment 1760396
Pangea Supercontinent - Before Breaking Apart
Yaaaah not only the forests even the continent were together according to Alfred Lothar Wegener was a German geophysicist and meteorologist. By gathering together geological evidence and fossil organisms evidence.Inasemekana msitu wa Amazon na Msitu wa Kongo ilikuwa kitu kimoja
nyumba tena😂😂 alaf kwenye cabin yake hata hakuna maajab sana sasaSasa hii si nyumba kabisa jamaa..!?
ikawaje zikatengana?Inasemekana msitu wa Amazon na Msitu wa Kongo ilikuwa kitu kimoja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatua mkuu,matambo kiswahili cha kanda ya ziwaHahahaaa Hitler alikua muonevu
Hata hivyo si jamaa anapiga matambo makubwa makubwa ndo mbio zake[emoji23][emoji23]
jinsi ya kuliendesha hili dubwanaNASA crawler transporter.
Hii ndio mashine inayotumika kubeba rocket.
Inauwezo wa kubeba 18 million pounds (8164.66 ton) (or the weight of more than 20 fully loaded 777 airplanes)View attachment 1762831View attachment 1762832View attachment 1762833View attachment 1762834View attachment 1762835
Wapo wataalam wake
Mara nyingi utakuta linaendeshwa na remote device
KambaView attachment 1759780
Disclaimer: Hii ni sanamu(replica) ya nyoka walioitwa Titanoboa, kwasasa hawapo(extinct) ila inasemekana waliishi South America huko misituni(Kwenye anaconda) kati ya miaka 58 hadi 60 million iliyopita.
Halafu kalivyotuliaDarius, Sungura mkubwa kuliko wote duniani(England)
View attachment 1759740
Limenishinda kulitamka😂😂😂Xyabegsbajebs
🤣ukitaka kupiga chafya jaribu kutamkaLimenishinda kulitamka😂😂😂