Big Brother Africa 2009: The Revolution

Big Brother Africa 2009: The Revolution

Je, Emma ataondoka Jumapili hii?

Kwa kadri mwelekeo wa kura za maoni kule Oboma Forum unavyokwenda ninapata mashaka sana kwamba Emma anaweza kuondoka Jumapili ijayo, maana gap ninaona linakuwa kubwa. Hata kama kuna Nigeria factor kwenye hizo kura, lakini nimeanza kuingiwa na woga kwamba kambi ya dada yetu inaweza kupoteza Kamanda wa Mikakati (Strategist mkali).

Nkenna ................ 38.14 % (15060)
Elizabeth .............. 35.20 % (13897)
Emma ................... 26.66 % (10524)


Total Votes: 39481

Iwapo Emma atatoka tutarajie nini?

Iwapo Emma atatoka, mwakilishi wetu atakuwa kwenye hali ngumu sana kwa kuwa Emma ndiye alikuwa strategist wa alliances zote ambazo ameshiriki. Kwa hiyo alliance ya Eliza na Kelvin itakuwa haina mtu wa ku-mobilize nominations tena.

Iwapo Emma atatoka, Leonel atarudi kwa Mzamo. Nkenna ameishaahidi kwamba akipona eviction hana ushikaji na mtu yeyote kwa kuwa kuna watu kibao ambao alikuwa anawapa tip kwenye nominations na walizitumia kujiokoa, lakini wiki hii walimgeuka baada ya kum-nominate.

Eliza hana mtu mwingine ambaye anaweza kuongea nae mambo ya nominations zaidi ya Emma na Kelvin, na wakati huo Emma hatakuwa ndani. So Eliza anabaki kuwa kizani na sijawahi kumuona aki-mobilize watu kwa ajili ya nominations.

Itai alikuwa ameanza kuegemea kwa Kelvin, akitegemea kwamba Kelvin angem-protect kwa kuwa ana numbers za Eliza, Emma + Nigerians, lakini kitendo cha Eddie kushinda HoH kwa mara nyingine kitamfanya Itai aanze kuhangaika tena huku na kule, maana siku zote huwa hana msimamo na ni nyoka mzuri sana. Kutangatanga kwake ndiko ambako huwa kunamfanya atoe siri za alliance ama mtu fulani.

Nkenna aki-save, Kelvin atakuwa hana ujanja zaidi ya kuomba suluhu kwa Nkenna, ili kupunguza tension kati yao. Kelvin alishasema kwamba m-Nigeria yeyote atakayepanda kitanzini hatarudi salama, iwapo Nkenna atarudi salama anaweza kujua kosa alilofanya kwa kum-nominate countryman wake na atajua kwamba Nkenna is strong. But the botton line ni kwamba kuna nchi zinatafuta kichwa cha Kelvin kwa udi na uvumba, siku akipanda na SADC ajue ameondoka hata kama ni entertainer.

Hizo zote ni speculations based on what is going on in the house. Mpaka sasa watu ambao hawajaonja kitanzi ni Geraldine, Leonel na Itai. Nina mashaka sana siku wakipanda wanaweza wasirudi na kwa bahati mbaya ama nzuri hawako kwenye hit list ya Eddie, except Itai.

Tusubiri fainali keshokutwa saa mbili usiku, tutajua nani anatoka na akina nani wamepona. Kama Emma atatoka basi tunategemea Molotov Cocktail inaweza kumshukia tena Nkenna. I hope ya wiki ijayo itakuwa ni rahisi/nyepesi sio kama ile ya ku-bake mikate kila siku ama ya wiki hii ya kupika na kuosha vyombo vyote kwa wiki nzima.
 
bado hii haijakaa swa...kura za simu sijui kma Elly atasimama

Nkenna 38.1%
Elizabeth 34.9%
Emma 26.9%

Total votes: 41111
 
Eliza ameni-bore sana kwa kitendo chake cha kuanza ku-discuss nominations za wiki ijayo, ilhali leo ni Ijumaa na bado kuna siku 2 nzima za kupiga kura.

Unajua hizi discussions wanazofanya ndizo ambazo zinawa-cost kwa kuwa watazamaji wanaanza kusoma mawazo yao.

Kosa jingine wao wanajiona strong sana kuliko washiriki wengine wote, with exception of Kelvin. Sijui wanatumia kigezo gani kujiona kwamba wao ni strong? Emma anasema iwapo Nkenna atapona basi atajua kwamba yuko kwenye show nyingine (tofauti). Recently, Eliza alishangaa kwamba Mzamo aliponaje kuwa evicted? Wakati sisi tulio nje tunamuona Eliza anasonga mbele kibahati bahati kama siyo kubebwa na Kelvin.

Hii weekend inaweza kuwa ndefu sana na ninachukia, ninajuta kwanini Jeremy alitoka. Jeremy angekuwepo, Emma asingepata muda wa ku-discuss na Eliza mambo ya nominations ama wao kujiona ni strong kuliko housemates wengine.

Hakuna viewer ambaye anafurahia kusikia housemate anayempenda anatakiwa kuwa nominated na alliance fulani. Sasa hivi Nigeria wanaweza kuhamishia kura zao kwa Nkenna kwa kuwa wameishaona Eliza hana nia njema na wa-Nigeria. Nigerians walikubali kumtoa sadaka Nkenna, sasa wakiona na Geraldine ananyemelewa wanaweza kubadilisha mawazo.

Strategy za nominations na discussions zake ziliwafanya Yacob na Paloma wawe very unpopular. Sasa naona Emma amechukua ukanda na anaweza kuwa next.
 
Itai .... the Green Snake in green grass

Baada ya matokeo ya HoH leo, hatimaye Itai amemwaga lazi kwa Nkenna kwamba Jumatatu iliyopita Kelvin alim-nominate Nkenna. Itai alifanya hivyo strategically kwa kuwa anajua kwamba Nkenna ni bingwa wa ku-mobilize nominations na pia amekuwa close na Eddie recently. Kwa hiyo kuna kitu kama ka-informal alliance ya Eddie, Mzamo na Nkenna.

Jumapili usiku Itai ataenda kwa Kelvin ili kujua msimamo wa kambi ya Kelvin na na kujua kama Leonel yuko upande wa Kelvin, baada ya hapo ataenda kwa Nkenna ili kujua msimamo wa Nkenna na akina Eddie. Then ataamua auze timu gani kati ya hizo mbili. Most likely nina mashaka atauza timu ya Kelvin kama watakuwa wamepoteza memba mmoja.

Katika housemates wote mle ndani, nadhani Itai anaweza kuwa na maadui wengi sana nje ya Jumba kwa kuwa the way anavyowauza wenzake mpaka unaweza kumchukia. Sijui kwanini housemates bado wanamuamini tangu wakati ule alipouza sera za Girl Power kwa Smokers alliance (enzi za Mama Paloma).

Leonel ... the Traitor

Mzamo nae amefahamu kwamba alikuwa nominated na Leonel Jumatatu iliyopita. Mzamo ameahidi kwamba lazima alipe kisasi, so, come Monday Mzamo tayari yuko na jina moja la nomination.

Kitendo cha Eddie kuwa HoH kimewafanya Itai na Leonel waanze kutanga tanga wakitafuta hifadhi maana hawajui results za Jumapili zitakuwaje. Last week wote walikuwa kambi ya Kelvin, lakini sasa wamefungua milango na hawajui wapige kambi wapi.

Kama Nkenna atapona, basi informal alliance ya Eddie inaweza kuwa strong na itawatesa sana akina Kelvin. Huu mwenendo wa discussions za nominations zina ashiria kitu kibaya. Tusishangae tukiona dada yetu yuko up against "shemeji" Kelvin. Itai simwamini sana kwa kuwa ninahisi anaweza ku-disclose details nyingi kwa Nkenna, kwamba alliance ya Kelvin iliwaweka kwenye spotlight Mzamo na Nkenna, na wao wanaweza ku-retaliate kwa kum-nominate Eliza.
 
Dada yetu ameongeza mkorogo, naona ameanza kuwaudhi wachinja mbwa (Nigeria), kibao karibu kitamgeukia.

News: Elizabeth Confronts Kevin

"If there is a girl out there that you are hurting, please stop it. - Elizabeth"

Elizabeth corners Kevin to tell him that she can see through his act. She tells Kevin to be himself and stop pretending. Kevin asks Elizabeth what makes her think he is not being himself.

Earlier, Elizabeth and Emma had a conversation about Kevin. Elizabeth reminds Emma that when they first met Kevin, he said he had a girlfriend back home. Now the girlfriend seems to be history. Elizabeth says that it is not right for someone to be hurting because Kevin is busy confessing his love for Elizabeth on television.

Elizabeth goes as far as saying that she feels like Kevin is using her for popularity.

Later, Elizabeth tells Kevin to stop hurting his girl back home.

Kevin has been pursuing his former Comrade in Arms, Elizabeth, for weeks. Elizabeth has told him that she does not like him in that way. Kevin and Elizabeth continue to have a fiery friendship filled with fights and laughter.

Hiyo sentensi imewakera sana Nigerians! Lakini nina hakika Eliza hakuitumia kwa nia mbaya, basically anaweza kuwa alimaanisha kwamba Kelvin analazimisha uhusiano ili apate umaarufu wa may be kuonekana na yeye ni kidume ama ana gf humo ndani ya Jumba. Lakini sentensi yenyewe imekaa kiutata utata sana na ndio maana wachinjwa nguruwe wameanza ku-mind.

Kila neno ama sentensi unayotoa humo ndani ina matter sana, maana viewers wako very sensitive, kitu kidogo tu wana-pick hicho hicho na kukifanya a NEWS na kujenga hoja ili watazamaji wakunyime kura.
 
Eliza ameni-bore sana kwa kitendo chake cha kuanza ku-discuss nominations za wiki ijayo, ilhali leo ni Ijumaa na bado kuna siku 2 nzima za kupiga kura.

Unajua hizi discussions wanazofanya ndizo ambazo zinawa-cost kwa kuwa watazamaji wanaanza kusoma mawazo yao.

Kosa jingine wao wanajiona strong sana kuliko washiriki wengine wote, with exception of Kelvin. Sijui wanatumia kigezo gani kujiona kwamba wao ni strong? Emma anasema iwapo Nkenna atapona basi atajua kwamba yuko kwenye show nyingine (tofauti). Recently, Eliza alishangaa kwamba Mzamo aliponaje kuwa evicted? Wakati sisi tulio nje tunamuona Eliza anasonga mbele kibahati bahati kama siyo kubebwa na Kelvin.

ndio maana waswahili tunasema nyani haoni k****le

kwa kweli mwanzoni nilidhani Eliza ana potential ya kukaa jumbani kwa muda mrefu sana angalau hata aingie kwenye top 5, lakini hiii ndoto naona inaota mbawa kila kukicha

Labda fact ya kwamba Nnkena ni m9ja ndio inayowapa kichwa kwamba Africa lazima itamtoa ili kupunguza idadi ya wanaigeria jumbani, hawajui kwamba attitude zao jumbani zina irritate watu kuliko hata issue ya kuwa na wana ija watatu...sasa Emma na Eliza wata blow hapo kesho mmoja wao au wote watakapotoka na kumwacha NKenna,

it is so sad, but she is still my countrymate...ndio maana bado nampigia kura kwa nguvu zote
 
ndio maana waswahili tunasema nyani haoni k****le

kwa kweli mwanzoni nilidhani Eliza ana potential ya kukaa jumbani kwa muda mrefu sana angalau hata aingie kwenye top 5, lakini hiii ndoto naona inaota mbawa kila kukicha

Labda fact ya kwamba Nnkena ni m9ja ndio inayowapa kichwa kwamba Africa lazima itamtoa ili kupunguza idadi ya wanaigeria jumbani, hawajui kwamba attitude zao jumbani zina irritate watu kuliko hata issue ya kuwa na wana ija watatu...sasa Emma na Eliza wata blow hapo kesho mmoja wao au wote watakapotoka na kumwacha NKenna,

it is so sad, but she is still my countrymate...ndio maana bado nampigia kura kwa nguvu zote

mie nimeshakata tamaa jamani ingawa everyday napiga kura yangu 😡
 
ndio maana waswahili tunasema nyani haoni k****le

kwa kweli mwanzoni nilidhani Eliza ana potential ya kukaa jumbani kwa muda mrefu sana angalau hata aingie kwenye top 5, lakini hiii ndoto naona inaota mbawa kila kukicha

Labda fact ya kwamba Nnkena ni m9ja ndio inayowapa kichwa kwamba Africa lazima itamtoa ili kupunguza idadi ya wanaigeria jumbani, hawajui kwamba attitude zao jumbani zina irritate watu kuliko hata issue ya kuwa na wana ija watatu...sasa Emma na Eliza wata blow hapo kesho mmoja wao au wote watakapotoka na kumwacha NKenna,

it is so sad, but she is still my countrymate...ndio maana bado nampigia kura kwa nguvu zote

Africa imeamua kumtoa Elizabeth. Hivyo, wananchi wa Tanzania tujitayarishe kumpokea binti yetu, na tumpe ushauri nasaha na updates ya jinsi ya kuja kuishi vizuri huku nje ya BBA.
 
Africa imeamua kumtoa Elizabeth. Hivyo, wananchi wa Tanzania tujitayarishe kumpokea binti yetu, na tumpe ushauri nasaha na updates ya jinsi ya kuja kuishi vizuri huku nje ya BBA.
Nilimpenda wakati anaingia, akaanza kuboa sana. Akaonesha hafai kuendelea kukaa mle, aksababisha nikaacha kuangalia hata BigBrother.

Am happy she's out 🙂
 
Nilishatoa ushauri hapo awali kuwa huytu binti anaweza kuwa ana matatizo ya akili, hivyo ni vizuri wataalamu wa psychology wampe ushauri. Bahati mbaya yule mshauri mahiri (Munga Tehani?) alishafariki, any way wako wengine watakaoweza kumpa ushauri nasaha, apunguze hasira, emotions, swing moods etc Huyu binti ana bore sana. Si ajabu akirudi hapa watu watampapatikia mara uwe actress, mara uwe mwimbnaji, mara ugombee udiwani au ubunge. Bull shit!!!!
 
Nilimpenda wakati anaingia, akaanza kuboa sana. Akaonesha hafai kuendelea kukaa mle, aksababisha nikaacha kuangalia hata BigBrother.

Am happy she's out 🙂

Yaani hata mimi, ila mamsapu naona kanuna; i think she had to go because she was losing her cool more often
 
Asante ndugu..
ila kuna wenzio tayari wameshaweka hii maneno.Soma Thread ya Mbogela on BBA.
Halafu mkuu..thread zako nyingi unajikuta unarudia kile ambacho wenzio walishatoa.. hii nimeiona kwenye thread ya kuungua Maisha Club ambapo Ndjabu da Dude alishakuwahi....Remix inanoga kama unaongeza mazagamazaga.. sasa za kwako hakuna hata kionjo cha zaidi.....unabore Mkuu!
 
Asante ndugu..
ila kuna wenzio tayari wameshaweka hii maneno.Soma Thread ya Mbogela on BBA.
Halafu mkuu..thread zako nyingi unajikuta unarudia kile ambacho wenzio walishatoa.. we need coordination somehow....

Ok, lakini ile ni thread ya zamani (6th September 2009, 06:21 PM ) na ina kichwa cha habari "Big Brother Africa 2009: The Revolution", upo hapo...anyway, thanks!!!!!
 
Elizabeth Gupta aaga (ametolewa nnje ya jumba la mashindano) BBA4 The revolution leo kwa kupigiwa kura!!! So sad!! She wasn't nominated but swapped by Eddie, HoH during the last nomination session!

http://www.mnetafrica.com/bigbrother/video/browsevideo.aspx?Vid=20858

http://www.mnetafrica.com/bigbrother/video/browsevideo.aspx?Vid=20859

Je, ni kweli kwamba Tanzania ni wasindikizaji katika kila mashindano??!

Soma historia ya BBA kwanza. Ni bora aage, ninajua wabongo hawapendi kuona dada yao anafanyiziwa wao wanapenda kufanyizia tu. Mwiso Richard, next year wapeleke mwanaume ndiyo watu watampigia kura
 
Soma historia ya BBA kwanza. Ni bora aage, ninajua wabongo hawapendi kuona dada yao anafanyiziwa wao wanapenda kufanyizia tu. Mwiso Richard, next year wapeleke mwanaume ndiyo watu watampigia kura

hahahahahahahaha, mbona Elizabeth kajitahidi kubana lakini?!
 
Huyu dada alikuwa anaboa kichizi,anabehave kama vila hana exposure,,,,kuhandle usumbufu wa kawaida wa wanaume tu eti inakuwa tabu anakuwa mbogo mwanaume akimtania mambo ya nanihii,ka Bikira bwana ha!....Hakufaa kabisa,it's fair!..They're supposed to entertain and she wasn't doing that!...Welcome home,next time tupeleke Masela!
 
Kwa mara ya tatu katika BBA 4, mtu ambaye hakuwa nominated amekuwa evicted. Lakini na yeye alipom-replace Erastus alienda kimoja.

Pia kwa mara ya pili kura za maoni zimekwenda kinyume na final results za eviction. Mpaka dakika ya mwisho, kura za maoni zilikuwa zikionyesha Nkenna akiongoza (39.44%), akifuatiwa na Eliza (34.18%) na wa mwisho alikuwa Emma (26.38%).

Nkenna alipata kura chache kutoka: South Africa, Kenya na Tanzania.
Emma alipata kura chache toka: Rest of Africa, Mozambique, Nigeria na Ethiopia.
Eliza alipata kura chache toka: Namibia, Angola, Malawi, Zimbabwe, Zambia, Ghana, Uganda na Botswana.

Hii pattern ya kura inachekesha, inasikitisha na pia inafurahisha. Sikutegemea South Africa wamnyime kura Nkenna, maana ndio waliokuwa wakiongoza kampeni za kumuokoa Nkenna. Pia sikutegemea Angola wamnyime kura Eliza kwa kuwa alikuwa close na Emma.

Ngoja tusubiri usiku huu tuone kama kutakuwa na makubaliano ya aina yoyote, maana ni balaa tupu.
 
Huyu dada alikuwa anaboa kichizi,anabehave kama vila hana exposure,,,,kuhandle usumbufu wa kawaida wa wanaume tu eti inakuwa tabu anakuwa mbogo mwanaume akimtania mambo ya nanihii,ka Bikira bwana ha!....Hakufaa kabisa,it's fair!..They're supposed to entertain and she wasn't doing that!...Welcome home,next time tupeleke Masela!

duh haya! bora masela tu! unajua kwani kutongozwa ni kosa? wala..sasa yeye kila wakati chozi hilo!
 
Back
Top Bottom